genius crazy
Member
- Oct 21, 2012
- 6
- 1
habari wanaJF,
naomba kusaidiwa chaguo lipi ni sahihi kwa mhitimu wa shahada ya "BSc.BUSINESS INFORMATION SYSTEMS" kutokana na uhitaji wake katika mazingira ya kazi.machaguo ni kama yafuatayo:
1."Business analyst"
2."Database administrator"
3."systems analyst"
4."business consultancy"
unaweza kuweka vitu viwili/vitatu vya kuzingatia ktk pendekezo lako.
Natarajia mawazo mazuri pia unaweza kutoa ushauri nje ya machaguo yangu kikubwa ureflect uhalisia.
naomba kusaidiwa chaguo lipi ni sahihi kwa mhitimu wa shahada ya "BSc.BUSINESS INFORMATION SYSTEMS" kutokana na uhitaji wake katika mazingira ya kazi.machaguo ni kama yafuatayo:
1."Business analyst"
2."Database administrator"
3."systems analyst"
4."business consultancy"
unaweza kuweka vitu viwili/vitatu vya kuzingatia ktk pendekezo lako.
Natarajia mawazo mazuri pia unaweza kutoa ushauri nje ya machaguo yangu kikubwa ureflect uhalisia.