msaada tutani

chickdee

Member
Joined
Sep 28, 2009
Posts
14
Reaction score
0
habari za jioni wana blog ya jamii, nipo hapa kuomba msaada kuna kitu kina nisumbua mimi niko na demu ambaye ni mchumba wangu ila tatizo ni kwamba tukiwa kwenye tendo lile la baba na mama (tendo la ndoa) hata hakati kiu yangu hali kadhalika kwake hata mimi sikati kiu yake, nimeshataka kuachana naye ila napewa ushauri kuwa kila kitu kitakuja kukaa sawa kadri tunavyokwenda na tumeshakaa muda wa miaka 3 na wengine wanasema ndoa sio kufanya mapenzi ila mimi naamini ndoa ni tendo maana kama simridhishi ina maana tukija kuwa mke na mume atakwenda nje ya ndoa kutafuta mtu atakaye mkata kiu yake. naombeni ushauri wadau ila yeye demu ananipenda sana na wakati huo huo niko na demu mwingine ananifurahisha kinoma na yeye anafurahishwa na mimi kwa kwenda mbele na nina mpenda kuliko mchumba wangu. Je nifanyeje?????????????????? nipo njia panda
 
sasa hapo unajichanganya mwenyewe,wewe unakuwa umeshaonja huko kwingine kweli kwa mchumba wako patanoga?embu jaribu kumuacha huyo wa pembeni ,concetrate na mchumba 100%
 
Wee kaka, tafadhali sana for heaven's sake kaa chini na huyo dada mueleze kwa utaratibu na kila mtu achukue ustaarabu. hivyo ulivyoabnza tu hakuna ndoa hapo zitakuwa frustrations kwenu ninyi wote.
Halafu its open humpendi maana unasema yeye ndo anakupenda sana na wewe tayari una kifaa kingine. mwache dada wa watu kwa ustaarabu usimpotezee muda, najua itamuuma lakini its for the best. you dont deserve her.
as usual always kuna kidumu pembeni, wanaume bwana,yani mtu akishapata mwanamke mwingine huko nje anaanza malalamiko ooh, haniridhishi, ooh simpendi sana. grow up.
 
carmel naomba unielewe toka naanza uhusiano naye ilikuwa haturidhishani tukajua kuwa tukishajuliana mambo yatakwenda sawa sio kwamba baada ya kupata demu mwingine ndo nimemuona yeye si mtamu hapana nieleweni wana jamii
 
carmel naomba unielewe toka naanza uhusiano naye ilikuwa haturidhishani tukajua kuwa tukishajuliana mambo yatakwenda sawa sio kwamba baada ya kupata demu mwingine ndo nimemuona yeye si mtamu hapana nieleweni wana jamii

Sasa kinachotakiwa ni kukaa na kuzungumza kitu gani ambacho kinawafanya mshindwe kuridhishana.
 
kiu gani hiyo ya kukatiana

hebu mdiscuss unataka akufanyie nini na wewe umfanyie nini

kama nyie hamuelezani sisi tutajuaje au uwe specific na kitu gani unataka usaidiwe
 
kwenye tendo la ndoa hakuna anayesikia raha si yeye wala mimi. na nimeshajaribu kuongea naye ila ndo na yeye akaniambia kuwa hata yeye mwenyewe huwa hasikii raha ya kufanya mapenzi
 
tukiwa kwenye tendo lile la baba na mama (tendo la ndoa) hata hakati kiu yangu hali kadhalika kwake hata mimi sikati kiu yake,
Be specific hapa haiwezi ikawa kwa pande zote lazima ni mmoja tu hapa goigoi! we unaweza sema kwa huyo demu wako mwingine unasikia raha labda yeye anakutega tuu hapati kitu ila kukwambia anaona soo!
 
kimey sikia hata kama yeye hapati raha mimi napata raha isiyo kuwa na kifani na ukweli siwezi kupitisha siku bila kufanya na mapenzi isipokuwa simba wakiwa uwanjani huwa hatufanyi. Na pia nilishamchukia mpenzi wangu na hata tukilala wote siwezi kufanya naye mapenzi zaidi ya kukumbatiana na wala jogoo hawiki.
 
Kwa maelezo yako haya naona we ushaamua moja na mawazo umeyadirect kwa huyo mwingine so ili usizidi kumuumiza huyo mchumba wako mpe live! ingekua vizuri ungeleta hii stori kabla hujapata huyo demu mwingine na hapa kukubadili wewe naona itakua shida!
 
si hivyo kimey nipo kwenye njia panda maana hata huyu demu niliyenae nimeanza kumpenda siku za karibuni na pia nafikiria jinsi nitakavyomwambia huyu mchumba wangu maana alishatishia kunywa sumu kipindi fulani nilitaka tuwe kaka na dada kutokana na hili tatizo linalotuface kwa sasa
 
wee chalii bana! sasa kama hum-feel unafikiri uta-enjoy aje sasa?

pia elewa ni kawaida kuona kitu kipya ni kitamu zaidi ya ulichozoea.
 
kiuno anakata sana ila ndo hivyo yaani naona niko kama nafanya mapenzi na dada yangu.Na mbaya zaidi ni kwamba nimeshamchukia na huwezi kuishi na mtu ambaye humpendi itakuwa ni ugomvi kila siku maana kwa sasa hata sina naye mawasiliano zaidi ya yeye ndo huwa ananipigia na akitaka kuonana na mimi namwambia sina muda na wala hakati tamaa.
 

This is what i am talking about. wewe ushaonja huko na kufikia conclusion kuwa huyu hakufai so be honest to her and let her go. Haya mambo pyschology inachangia sana, ukiuambia ubongo wako huyu haniridhishi na wenyewe unact hivyohivyo so hata huyo jogoo hawezi kuwika. na ndoa hapa haiwezekani nionavyo mimi msipotezeane muda na kuumizana nyoyo maana hata mkifunga ndoa mtacheat tu kutafuta kuridhisha roho zenu.
 



Wewe ushasema unamchukia na humpendi sasa unafikiri kuna raha utakayoipata hapo?Unataka msaada wa nini?
Unampotezea muda dada wa watu, wewe kichafuzi huna lolote. Mwambie ukweli dada wa watu kwamba humpendi na tayari una mtu mwingine.
 
Dogo sasa kwa nini upo naye in the first place?

Kukusaidia ebu kuwa mwanaume japo mara moja mwambie kuwa kutokana na hali halisi hamuwezi kuendelea pamoja. hilo la kunywa sumu lisikusumbue mweleweshe taratibu na mpe ukweli kuwa umependa kwingine.

halafu ole wako uje tena kutuambi uyo mwingine 'hamridhishani' tutakutoa baru!
 
chickdee.....

kimey sikia hata kama yeye hapati raha mimi napata raha isiyo kuwa na kifani na ukweli siwezi kupitisha siku bila kufanya na mapenzi isipokuwa simba wakiwa uwanjani huwa hatufanyi....................
Wewe kumbe shida ni kwamba unafanya sana na huyo mwingine kiasi kwamba ukienda kwa mchumba wako unakuwa umeshachoka, kama ni hivyo hutakaa umridhishe na wewe hutakaa uridhike. Mimi naona tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi unahitaji kutulia na kuamua yupi unataka uwe nae. Amua leo unayemtaka, kwani huyo anayekuridhisha hafai kuwa mke?
 
 

carmel???????
U r turning me on big time,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…