Msaada tutani

Msaada tutani

dysie

New Member
Joined
May 29, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Wanajamii nataman nifanye biashara itayoweza niingizia kipato kidogo mbal na mshahara bt nafikiria cpat jibu. Nisaidien kwa hili
 
Nikuunganishe na Forever Living Products ambapo utauza bidhaa za kuboresha afya za watu na baada ya miezi 2-3 utaona mabadiliko makubwa mno.
 
...tuliza akili biashara zipo nyingi sana,jambo la msingi na linalo washinda watu wengi ni kujua aina ya biashara inayoendana na kaliba yako. Ukiweza kubadilisha personality yako ikaendana na biashara husika utakuwa na uwezo wa kufanya biashara yoyote na ukafanikiwa. Sasa cha kwanza angalia mazingira unayoishi au hata nyumbani kwako kunakitu gani mnatumia lakini upatikanaji wake unasumbua,au kinapatikana lakini kinatumika sana,kijengee busines plan kisha fanya biashara. Nakupa njia ndefu ili upate ufahamu wa kutosha juu ya biashara unayotaka kufanya. Watakuja watu na kukwambia fanya biashara fulani,utaona biashara mbaya maisha yako yote maana lazima uchemke tu,hilo nakuhakikishia...
 
...tuliza akili biashara zipo nyingi sana,jambo la msingi na linalo washinda watu wengi ni kujua aina ya biashara inayoendana na kaliba yako. Ukiweza kubadilisha personality yako ikaendana na biashara husika utakuwa na uwezo wa kufanya biashara yoyote na ukafanikiwa. Sasa cha kwanza angalia mazingira unayoishi au hata nyumbani kwako kunakitu gani mnatumia lakini upatikanaji wake unasumbua,au kinapatikana lakini kinatumika sana,kijengee busines plan kisha fanya biashara. Nakupa njia ndefu ili upate ufahamu wa kutosha juu ya biashara unayotaka kufanya. Watakuja watu na kukwambia fanya biashara fulani,utaona biashara mbaya maisha yako yote maana lazima uchemke tu,hilo nakuhakikishia...

uko sahihi kabisa.utash unaotokan na hekima na busara binafsi ni bora zaidi..mawazo ya watu au ushauri basi nikuboresha ulichokiamulia.
 
Back
Top Bottom