Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajamvi kuna wakati nilisikia mtaani kuwa maralia au homa inaweza kupona kwa kujifukiza moshi wa maji ya moto huku umejifunika kwa shuka!je dawa hii ni kweli inatibu na kama ndiyo ni maji kiasi gani unaweka!
Mafua pekee ndo yanaweza kupona kwa njia hiyo
Wanajamvi kuna wakati nilisikia mtaani kuwa maralia au homa inaweza kupona kwa kujifukiza moshi wa maji ya moto huku umejifunika kwa shuka!je dawa hii ni kweli inatibu na kama ndiyo ni maji kiasi gani unaweka!
i hate dawa za malaria,acha watu wafikirie tiba mbadala.