Mtu-people
New Member
- Aug 20, 2019
- 2
- 0
Habari ya jioni wakuu,kuna smart TV inakama wiki inasumbua kuwaka kwa njia ya umeme wakawaida,ilianza ukiiwasha inatokea logo ila rangi ya screen inafifia kama vile umeme ni mdogo kisha baada ya sekunde kama 30 hivi mwanga mweupe unatokea kisha inaanza kuonyesha picha vizuri tu inatilia.Ila leo kila ikiwashwa inawaka logo yenye mwanga wa bluu unaofifia taratibu mpaka screen inakua mwanga mweusi tu sauti unasikiai ila picha hazionekani.
Pamoja na yote hayo,kila ikiwashwa kwa njia ya DC y solar inawaka vizuri kabisa bila kuonyesha tatizo lolote lile.Naombeni kujua shida itakua wapi kabla sijafanya maamuzi yakumtafuta fundi,Itakua ni hitilafu ndani ya Tv yenyewe kwenye mfumo wa AC!?make mfumo wa DC hakuna tatizo unafanya kazi vyema au ni mfumo wa umeme ndio una tatizo linaloleta umeme mdogo?
Pamoja na yote hayo,kila ikiwashwa kwa njia ya DC y solar inawaka vizuri kabisa bila kuonyesha tatizo lolote lile.Naombeni kujua shida itakua wapi kabla sijafanya maamuzi yakumtafuta fundi,Itakua ni hitilafu ndani ya Tv yenyewe kwenye mfumo wa AC!?make mfumo wa DC hakuna tatizo unafanya kazi vyema au ni mfumo wa umeme ndio una tatizo linaloleta umeme mdogo?