Msaada udahili A level

simplemind

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2009
Posts
16,418
Reaction score
9,209
Naomba msaada taratibu udahili A Level shule za serikali. Je ipo kamati inayosimamia udahili kama ya vyuo vikuu a mwanafunzi inabidi kutuma maombi shule husika? Ahsante
 
Ndio wale wale tunaowasema wanaoandika ZOMBI na MESSI,hivi hadi unamaliza A level ulikuwa hujui selection ya A level inafanyikaje?unbeliavable
 
Ndio wale wale tunaowasema wanaoandika ZOMBI na MESSI,hivi hadi unamaliza A level ulikuwa hujui selection ya A level inafanyikaje?unbeliavable
OMEGA wadogo zetu hawataka kuhangaisha bongo lala zao, msamehe bure.
 
Last edited by a moderator:
Ndio wale wale tunaowasema wanaoandika ZOMBI na MESSI,hivi hadi unamaliza A level ulikuwa hujui selection ya A level inafanyikaje?unbeliavable

Disabuse your mind! Sote hatujasoma Tanzania. Tumecheza league kubwa zaidi. As an afterthought get a life.
 
ahsante. Waliofaulu udahili wana taarifiwa vipi? Magazeti au mtandao au kupitia shule waliposoma?

Mtandaoni na huwa wanatangaza selection bado sana tegemea mwezi wa nne na kuendelea sababu A-LEVEL Wanaingia july mwaka huu
 
Ndio wale wale tunaowasema wanaoandika ZOMBI na MESSI,hivi hadi unamaliza A level ulikuwa hujui selection ya A level inafanyikaje?unbeliavable
kamaliza O level na si A level inaelekea hata shule hujaenda ww
 
Naomba msaada taratibu udahili A Level shule za serikali. Je ipo kamati inayosimamia udahili kama ya vyuo vikuu a mwanafunzi inabidi kutuma maombi shule husika? Ahsante

Muulize huyo alomaliza o level wakt akiwa shuleni form four hakujaza form inayomtaka achague shule anayotaka.? Labda km shule za sikI hizI hawafany..ss tulichagua shule tuzopendazo na combination unauopenda kusomea ktk shule hiyo..ikitokea umefaulu wanaangalia choices zako na perfomance then unapelekwa shule ambayo kwa pergomance yako inaendana..sawa dogo
 

Hiyo ulosema ndio taratibu sahihi. Unachagua shule tatu na combination inategemea perfomance yako mtihani wa majaribio. Nadhani hii taratibu haipo tena. Anyway nitamuliza dogo.
 
Hiyo ulosema ndio taratibu sahihi. Unachagua shule tatu na combination inategemea perfomance yako mtihani wa majaribio. Nadhani hii taratibu haipo tena. Anyway nitamuliza dogo.

huo utaratibu unafanywa na sio lazima upelekwe combination ulizochagua na wakuu wa shule ndo wanaochagua wanafunzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…