Msaada ufadhiri wa taasisi ya mkapa

Msaada ufadhiri wa taasisi ya mkapa

stunna

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2013
Posts
258
Reaction score
147
Jaman mwnye taarifa anijuze maana nimeona wametoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya afya kupitia wizara ya afya kwa ngazi ya cheti na diploma ,naomba kujuzwa ni lini na utaratibu wa kulipoti chuo husika ukoje maana kwny website yao hawajaelezea lini mwanafunzi anatakiwa kuripoti
 
Back
Top Bottom