Walcotinho
Member
- May 28, 2017
- 35
- 15
Habari familia, kuja jambo linanitatiza,
kwa waliopo kwenye ajira hasa binafsi, Kuna hii Kodi ya mapato inayotokana na mshahara, aisee hii Kodi ni kubwa mno inaumiza Sana, sijajua ndo utaratibu ulipo tangu zamani ama ni mabadiliko yaliyotokea hivi karibuni?
Maana unakuta anayelipwa Gross profit 600,000Tsh Kodi ni 36,000 ila hapo hapo anayelipwa mala mbili ya hiyo laki6 Yani 1,200,000Tsh Kodi ni 188,000TSh, how comes yani hamna uwiano na inaumiza kumbuka hapo hamna makato ya bima Wala NSSF.
Wajuzi wa mambo nawaomba jambo moja tuu, anayejua huu ndo utaratibu wa makato tangu miaka mingi iliyopitaa, ama ni mabadiliko ya hivi karibuni..??? Msaada🙏
kwa waliopo kwenye ajira hasa binafsi, Kuna hii Kodi ya mapato inayotokana na mshahara, aisee hii Kodi ni kubwa mno inaumiza Sana, sijajua ndo utaratibu ulipo tangu zamani ama ni mabadiliko yaliyotokea hivi karibuni?
Maana unakuta anayelipwa Gross profit 600,000Tsh Kodi ni 36,000 ila hapo hapo anayelipwa mala mbili ya hiyo laki6 Yani 1,200,000Tsh Kodi ni 188,000TSh, how comes yani hamna uwiano na inaumiza kumbuka hapo hamna makato ya bima Wala NSSF.
Wajuzi wa mambo nawaomba jambo moja tuu, anayejua huu ndo utaratibu wa makato tangu miaka mingi iliyopitaa, ama ni mabadiliko ya hivi karibuni..??? Msaada🙏