mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Habari wakuu
Kama title inavyojieleza naomba kufahamu hivi page ipo chini ya taasisi ya serikali au ipo chini ya mtu binafsi.
Ni kwasababu mara nyingi nimeona caption zake zinaanza na neno " nime... " Nimefanya hivi n.k
Lakini kuna vingine pia ni kama havihusiani na page au viko kibinafsi. Nauliza tu wadau kama mwananchi
Kama title inavyojieleza naomba kufahamu hivi page ipo chini ya taasisi ya serikali au ipo chini ya mtu binafsi.
Ni kwasababu mara nyingi nimeona caption zake zinaanza na neno " nime... " Nimefanya hivi n.k
Lakini kuna vingine pia ni kama havihusiani na page au viko kibinafsi. Nauliza tu wadau kama mwananchi