Habari wakuu. Ninaanza ufugaji wa nyuki kwa hiyo sina uzoefu. Kuna changamoto moja nimeisikia kwamba nyuki wana tabia ya juiacha mizinga na kuhamia sehemu nyingine. Kana hii ni kweli naomba kujua mbinu za kuwafanya wasihame. Natanguliza shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu kwenye ufugaji wa Nyuki, mimi mwenzio sasa Mwaka wa 3.Habari wakuu. Ninaanza ufugaji wa nyuki kwa hiyo sina uzoefu. Kuna changamoto moja nimeisikia kwamba nyuki wana tabia ya juiacha mizinga na kuhamia sehemu nyingine. Kana hii ni kweli naomba kujua mbinu za kuwafanya wasihame. Natanguliza shukrani.
Kwa mfugaji wa Kawaida ili aweze kukata bawa Malkia lazima awe na Banjo la Malkia na aweze kumkamata kisha afanye hayo.Wenzetu nje wanamkata bawa moja Malkia.anaesababisha Nyuki kuhama ni Malkia.so akiwa awezi ruka akuna kundi kuhama mzinga
Karibu tunauza mizinga ya nyuki na makundi ya nyukiHabari wakuu. Ninaanza ufugaji wa nyuki kwa hiyo sina uzoefu. Kuna changamoto moja nimeisikia kwamba nyuki wana tabia ya juiacha mizinga na kuhamia sehemu nyingine. Kana hii ni kweli naomba kujua mbinu za kuwafanya wasihame. Natanguliza shukrani.
Kwa maelezo hayo mnauza bei gani?Karibu tunauza mizinga ya nyuki na makundi ya nyuki
unauza asali nchini au soko la nje, kaa ulaya auKaribu kwenye ufugaji wa Nyuki, mimi mwenzio sasa Mwaka wa 3.
Kuhusu kuhama kwa nyuki ndani ya mizinga kuna mambo mengi;
1. Utashi wa Asili WA kutaka kuongezeka na kuzaliana, (Kugawanyika Kwa kundi)
2. Uhaba WA chakula,
3.Nafasi ndani ya mzinga kuwa ndogo mno na kuwazuwia nyuki wafanyakazi kushinda kutekeleza majukumu muhimu kama kujenga masega, kuweka Amina ya Asali na kulea watoto.
4. Kuwepo kwa maadui wa nyuki,
5. Matumizi ya dawa za kilimo ambayo yanadhuru nyuki,
6. Hali ya hewa kama joto Kali, baridi Kali, unyevu mwingj na mvua nyingi,
7. Uvunaji usiozingatia kanuni bora, kuvuna masega yote bila kuwaachia nyuki Asali.
Ukiangalia sababu hizi utabaini chanzo cha nyuki wako kuhama, hivyo itakuwa rahisi kusaka ufumbuzi.
Tunaweza kuwasiliana iwapo shida ni kubwa zaidi, nipo Nyuki Farming Mwanza; Call +255622642620
Nauza asali hapa nchini, soko la ndani wala siyo Ulaya.unauza asali nchini au soko la nje, kaa ulaya au
Unapatikana wapi? Bei ya mzinga ni sh.ngapi?Karibu tunauza mizinga ya nyuki na makundi ya nyuki