Msaada ugonjwa wa macho

Joined
Nov 11, 2015
Posts
43
Reaction score
1
Kwenye kope ya chini ya jicho kuna uvimbe mdogo una tundu ni kama upele flani hivi ambao unawasha nimejaribu kukamua lakini hautoi Kitu.nauliza hii ni nini ? na matibabu yake yanakuwaje ?.
 
Mkuu jicho ni moja ya kiungo sensitive sana..Nenda hospitali..Achana na ushauri wa mitandaoni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…