Msaada ugonjwa wa ugwe mgongo (spinal cord)

Msaada ugonjwa wa ugwe mgongo (spinal cord)

Folk Part II

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
419
Reaction score
490
Je, kuna mtu humu au unamjua amewahi kuugua ugonjwa kama huu?

Anisaidie ushauri


Wana jamiiforum natumai muu wazima wa afya na kwa wale ambao imelega kidogo tuendelee kumuomba mungu atusaidie tupone

Ndugu zanguni nimekuwa na maradhi yanayonisumbua kwa muda mrefu sasa ni mwaka wa 6 nimehangaika sana kutafuta kila aina ya tiba itakayoonekana na ninaendelea bila mafanikio

Matatizo yangu makubwa yapo ndani ya uti wa mgongo ambako kunapatikana ugwe mgongo, haya maumivu yamepelekea kujumuishwa kama naumwa mgongo na sehemu ambapo pana tatizo ni kwenye mgongo juu yaani katikati ya scapula (kwenye kifua kwa nyuma ) sehemu ambapo maumivu ndo yanaanzia na hapo ndo chanzo ni pingiri za thoracic ambazo ndo zipo kwenye kifua kwa nyuma (ukiinamisha shingo kuna kamfupa ka uti wa mgongo kanatuna hapo shingoni kuliko twingine twa hapo shingoni ,ukianza kuhesabu apo kushuka chini hadi kamfupa au pingili ya 7 na ya 8 kwenye hizi pingili ndo pana maumivu makali na sehemu maumivu yanapoanzia)

Mwanzo naanza kuumwa nilikuwa na dalili nyingi ingawa zingine zimepungua ila mzizi wa tatizo upo palepale

DALILI HIZO
1. Maumivu makali hapo mgongoni.

2. Ukitaka kufikili maumivu yaongezeka maradufu.

3. Kusoma kitu ili ukielewe maumivu yanaongezeka maradufu.

4. Misuli ya shingo na mabega pamoja na kifuan kukaza ni hatari.

5. Majasho ya usiku hadi nilipolala panalowa.

6. Mwili kukosa nguvu kabisa.

7. Kutumia simu, computer au kuangalia TV shida inaongezeka maradufu.

8. Kufanya kitu chochote cha kutumia akili maumivu yanaongezeka

Ninaposema maumivu yanaongezeka namaanisha haya maumivu yapo muda wote

Ni kilala ndo hatari usingizi sijawahi pata ndugu zangu nikisizia basi ni dakika 5 nshashitushwa na maumivu au vindoto vya ajabu

Je kuna mtu humu au unamjua amewahi kuugua ugonjwa kama huu?
anisaidie ushauri

SOMA PIA HIZI THREAD ZANGU

Thread 'Maumivu ya mgongo sugu wa juu, mabegani na misuli shingo kukaza homa ya uti wa mgongo (Pneumonical Meningitis)' Maumivu ya mgongo sugu wa juu, mabegani na misuli shingo kukaza homa ya uti wa mgongo (Pneumonical Meningitis)

PIA na HII

Thread 'Hichi nini kwenye mwili wangu wataalamu wa X Ray, CT Scan na MRI' Hichi nini kwenye mwili wangu wataalamu wa X Ray, CT Scan na MRI
Nimejiita folk part II kwa sababu yale aliyopitia ndo napitia

Mdau wetu Folk ananiita huko aliko amesumbuliwa na mwisho kupotea dunian amewahi kuanzisha hizi thread


Na hii


Thread 'Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)' Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)
 
Je kuna mtu humu au unamjua amewahi kuugua ugonjwa kama huu?
anisaidie ushauri


Wana jm forum natumai muu wazima wa afya na kwa wale ambao imelega kidogo tuendelee kumuomba mungu atusaidie tupone

Ndugu zanguni nimekuwa na maradhi yanayonisumbua kwa muda mrefu sasa ni mwaka wa 6 nimehangaika sana kutafuta kila aina ya tiba itakayoonekana na ninaendelea bila mafanikio

Matatizo yangu makubwa yapo ndani ya uti wa mgongo ambako kunapatikana ugwe mgongo, haya maumivu yamepelekea kujumuishwa kama naumwa mgongo na sehemu ambapo pana tatizo ni kwenye mgongo juu yaani katikati ya scapula (kwenye kifua kwa nyuma ) sehemu ambapo maumivu ndo yanaanzia na hapo ndo chanzo ni pingiri za thoracic ambazo ndo zipo kwenye kifua kwa nyuma (ukiinamisha shingo kuna kamfupa ka uti wa mgongo kanatuna hapo shingoni kuliko twingine twa hapo shingoni ,ukianza kuhesabu apo kushuka chini hadi kamfupa au pingili ya 7 na ya 8 kwenye hizi pingili ndo pana maumivu makali na sehemu maumivu yanapoanzia)

Mwanzo naanza kuumwa nilikuwa na dalili nyingi ingawa zingine zimepungua ila mzizi wa tatizo upo palepale

DALILI HIZO
1.Maumivu makali hapo mgongoni
2.ukitaka kufikili maumivu yaongezeka maradufu
3.kusoma kitu ili ukielewe maumivu yanaongezeka maradufu
4.misuli ya shingo na mabega pamoja na kifuan kukaza ni hatari
5.majasho ya usiku hadi nilipolala panalowa
6.mwili kukosa nguvu kabisa
7.kutumia simu, computer au kuangalia TV shida inaongezeka maradufu
8.kufanya kitu chochote cha kutumia akili maumivu yanaongezeka

Ninaposema maumivu yanaongezeka namaanisha haya maumivu yapo muda wote

Ni kilala ndo hatari usingizi sijawahi pata ndugu zangu nikisizia basi ni dakika 5 nshashitushwa na maumivu au vindoto vya ajabu

Je kuna mtu humu au unamjua amewahi kuugua ugonjwa kama huu?
anisaidie ushauri

SOMA PIA HIZI THREAD ZANGU

Thread 'Maumivu ya mgongo sugu wa juu, mabegani na misuli shingo kukaza homa ya uti wa mgongo (Pneumonical Meningitis)' Maumivu ya mgongo sugu wa juu, mabegani na misuli shingo kukaza homa ya uti wa mgongo (Pneumonical Meningitis)

PIA na HII

Thread 'Hichi nini kwenye mwili wangu wataalamu wa X Ray, CT Scan na MRI' Hichi nini kwenye mwili wangu wataalamu wa X Ray, CT Scan na MRI
Nimejiita folk part II kwa sababu yale aliyopitia ndo napitia

Mdau wetu Folk ananiita huko aliko amesumbuliwa na mwisho kupotea dunian amewahi kuanzisha hizi thread


Na hii


Thread 'Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)' Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

Pole kwa kuumwa.
Kuna mambo mengine kama uzito wako umwkuwa wa.mwenendo gani, vipimo kama ESR, MRI vilitoa majibu gani?

Binafsi naliona tatizo lako kwenye misingi ifuatayo:

1: Migraine headache affecting neck muscles/Kipandauso kinachoathiri misuli ya shingo/uti wa mgongo.

Kuna vitu ambavyo huathiri kipandauso ambayo unayafanya na kusababisha mzunguko huu kutokuisha.


2: Radiculopathy/ kukandamizwa au kuumizwa kwa mishipa ya fahamu. Kuumizwa kwa mishipa ya fahamu eneo husika kwa pressure effect.

3: Maambukizi ndani ya mfumo wa uti wa mgongo au mifupa ya eneo husika, ambayo huweza kusababisha tissue reaction/inflammation na kuleta dalili husika ( flar vs waning).

Watu/wataalamu watatu wanaweza kusaidia sama kwenye hili:
neurosurgeon vs Neurophysician, orthopaedic na infectious disease physician.
 
Pole kwa kuumwa.
Kuna mambo mengine kama uzito wako umwkuwa wa.mwenendo gani, vipimo kama ESR, MRI vilitoa majibu gani?

Binafsi naliona tatizo lako kwenye misingi ifuatayo:

1: Migraine headache affecting neck muscles/Kipandauso kinachoathiri misuli ya shingo/uti wa mgongo.

Kuna vitu ambavyo huathiri kipandauso ambayo unayafanya na kusababisha mzunguko huu kutokuisha.


2: Radiculopathy/ kukandamizwa au kuumizwa kwa mishipa ya fahamu. Kuumizwa kwa mishipa ya fahamu eneo husika kwa pressure effect.

3: Maambukizi ndani ya mfumo wa uti wa mgongo au mifupa ya eneo husika, ambayo huweza kusababisha tissue reaction/inflammation na kuleta dalili husika ( flar vs waning).

Watu/wataalamu watatu wanaweza kusaidia sama kwenye hili:
neurosurgeon vs Neurophysician, orthopaedic na infectious disease physician.
Majibu huwa ni kwamba kwenye vipimo huwa hawaoni tatizo nahis infection ipo kwenye ugwe mgongo coz pingili ziko sawa tu
 
Majibu huwa ni kwamba kwenye vipimo huwa hawaoni tatizo nahis infection ipo kwenye ugwe mgongo coz pingili ziko sawa tu

Kwenye Uloto likely ingekuwa imetoka eneo husika na kusogea mbali/ sehemu nyingine ya mgongo vs mwili. Mzunguko wa CSF ungeweza kuwa ni njia rahisi kupeleka kwingine kwa kipindi hiki kirefu. Labda kwa soft tissue zilizopo kwenye mfumo wa uti wa mgongo na pingili zake.
 
Back
Top Bottom