Teremaro
Member
- Mar 18, 2022
- 29
- 26
Habari ndugu wana jamii forums, naombeni ushauri kwa wataalam wa mambo ya umeme.
Nyumba yangu ni ya vyumba vitatu, natumia umeme kwenye taa, feni, tv, fridge na heater mara moja moja. Umeme naweka wa elfu 50000 ila haumalizi mwezi!
Pia soma: Vitu vyangu vya umeme vimeungua na umeme wa TANESCO
Kwakweli hiki kitu kinafikirisha sana, naombeni ushauri je, itakuwa ni matumizi ya kawaida? Ama nipunguze nini kinachokula umeme zaidii? TANESCO
Asanteni.
Nyumba yangu ni ya vyumba vitatu, natumia umeme kwenye taa, feni, tv, fridge na heater mara moja moja. Umeme naweka wa elfu 50000 ila haumalizi mwezi!
Pia soma: Vitu vyangu vya umeme vimeungua na umeme wa TANESCO
Kwakweli hiki kitu kinafikirisha sana, naombeni ushauri je, itakuwa ni matumizi ya kawaida? Ama nipunguze nini kinachokula umeme zaidii? TANESCO
Asanteni.