jaribu kutafuta chanzo wewe mwenyewe kwanza kabla ya fundi..
zima kila kitu kwa masaa 12 ujue kama kuna sehemu unavuja.
kama hakuna anza kutest kitu kimpja kimoja katika vitu vyako ujue kipi kinakula umeme mwingi. so utaacha labda friji kwa masaa hayo mpaka utajua tatizo ni nini.
iliwahi kunisumbia ila tatizo likawa nyaya za kwenye switch socket hazikuwa zimekazwa vizuri so nikiwasha tv tuu na ndani ya socket panakua na cheche zitokazo. baada ya kukaza umeme ukawa fresh kimatumizi