iyengamuliro
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 819
- 366
Habari wana Jf.Niende moja kwa moja kwenye mada.Mimi ni dereva Bajaji na nimekamatwa kwa kosa la kutembea na copi ya leseni kwani orijino ipo na tajiri.Walipo hitaji orijino nikawasiliana na tajiri na ndani ya saa ikaletwa na bado polisi wanalazimisha nilipe faini ya kutotembea na leseni orijino.Je sheria inasemaje kuhusu jambo hili?.Je ni wapi naweza kupata msaada kama mkuu wa traffic anaungana na traffic wa chini yake nilipe?.