mimi napiga boksi zangu ughaibuni,nataka kupata mkopo kama milioni 30 nina nyumba dar
ninauwezo wa kulipa milioni moja kila mwezi licha ya kuweka nyumba.na kama kuna mwenzangu aliyeko ughaibuni keshafanikiwa
kwa jia ya kupata mkopo nyumbani ,karibuni jamvini.