Comi JF-Expert Member Joined Oct 2, 2011 Posts 3,328 Reaction score 958 Nov 30, 2012 #1 Naombeni kujuzwa tofauti kati ya maneno haya yafuatayo:- 1) malaya 2) mzinzi 3)muasherati
MadameX JF-Expert Member Joined Dec 27, 2009 Posts 7,792 Reaction score 3,856 Dec 1, 2012 #2 1- ni kwa mwanamke anajiuza mwili kwa pesa kwa ajili ya ngono 2-Mtu anayefanya ngono nje ya ndoa, hii ni kidini zaidi. 3-Mtu anaefanya ngono na watu tofauti
1- ni kwa mwanamke anajiuza mwili kwa pesa kwa ajili ya ngono 2-Mtu anayefanya ngono nje ya ndoa, hii ni kidini zaidi. 3-Mtu anaefanya ngono na watu tofauti
SuperImpressor JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 1,505 Reaction score 648 Dec 2, 2012 #3 Nisaidieni na kahaba