Msaada unahitajika

Comi

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
3,328
Reaction score
958
Naombeni kujuzwa tofauti kati ya maneno haya yafuatayo:-
1) malaya
2) mzinzi
3)muasherati
 
1- ni kwa mwanamke anajiuza mwili kwa pesa kwa ajili ya ngono
2-Mtu anayefanya ngono nje ya ndoa, hii ni kidini zaidi.
3-Mtu anaefanya ngono na watu tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…