Msaada: Unaifunguaje iPhone inayohitaji Activation Lock?

Msaada: Unaifunguaje iPhone inayohitaji Activation Lock?

macho_mdiliko

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2008
Posts
25,191
Reaction score
48,765
Wana JF naomba mwenye kujua.

Je, kuna uwezekano wa ''kuifungua'' iphone ambayo inayohitaji activation lock?

Jamaa amesahau Apple ID yake na password kwani hajatumia simu kwa muda mrefu sana.

Amejaribu kui-reset ikiwa kwenye recovery mode akafanikiwa, lakini wakati wa setup ikakwama kwenye activation lock.

Amekwama hapa:
1649000220362.png
 
Wana JF naomba mwenye kujua. Je kuna uwezekano wa ''kuifungua'' iphone ambayo inayohitaji activation lock? Jamaa amesahau Apple ID yake na password kwani hajatumia simu kwa muda mrefu sana. Amejaribu kui-reset ikiwa kwenye recovery mode akafanikiwa, lakini wakati wa setup ikakwama kwenye activation lock. Amekwama hapa:
View attachment 2174433
Hapo ni kukumbuka tu bwashee hakuna namna
 
Wana JF naomba mwenye kujua.

Je, kuna uwezekano wa ''kuifungua'' iphone ambayo inayohitaji activation lock?

Jamaa amesahau Apple ID yake na password kwani hajatumia simu kwa muda mrefu sana.

Amejaribu kui-reset ikiwa kwenye recovery mode akafanikiwa, lakini wakati wa setup ikakwama kwenye activation lock.

Amekwama hapa:
View attachment 2174433

Hesabu hasara. Kama ya kuchukulia mkononi ndo imetoka hiyo otherwise contact Apple support kama ni yako. Kwnye picha hiyo umepewa mpaka hint ya email ya Apple ID, maana yake ni kwamba mpaka ameshindwa kukumbuka hiyo email, simu siyo yake. Mtu mwenye iPhone hawezi kuiweke eti imekaa tu haitumii. Hiyo hoja ni dhaifu na haiwezi kukubalika kirahisi hivyo.

iPhone siyo Infinix ndo tatizo.
 
Hesabu hasara. Kama ya kuchukulia mkononi ndo imetoka hiyo otherwise contact Apple support kama ni yako. Kwnye picha hiyo umepewa mpaka hint ya email ya Apple ID, maana yake ni kwamba mpaka ameshindwa kukumbuka hiyo email, simu siyo yake. Mtu mwenye iPhone hawezi kuiweke eti imekaa tu haitumii. Hiyo hoja ni dhaifu na haiwezi kukubalika kirahisi hivyo.

iPhone siyo Infinix ndo tatizo.
Ni yake kihalali kabisa. Ila yeye mambo ya user ID alifanya kufunguliwa tu na hayajui kabisa. Aliinunua second hand na kuomba kusetiwa na fundi wa mtaani. Kwa hiyo details zake hana na yule aliyeseti hawajuani.
 
Ni yake kihalali kabisa. Ila yeye mambo ya user ID alifanya kufunguliwa tu na hayajui kabisa. Aliinunua second hand na kuomba kusetiwa na fundi wa mtaani. Kwa hiyo details zake hana na yule aliyeseti hawajuani.
shida ya iphone ndo hapo kwenye security akuna njia mbadala.
 
Wana JF naomba mwenye kujua.

Je, kuna uwezekano wa ''kuifungua'' iphone ambayo inayohitaji activation lock?

Jamaa amesahau Apple ID yake na password kwani hajatumia simu kwa muda mrefu sana.

Amejaribu kui-reset ikiwa kwenye recovery mode akafanikiwa, lakini wakati wa setup ikakwama kwenye activation lock.

Amekwama hapa:
View attachment 2174433

Ina toka ila kama ni yako.kuna policy ulishindwa kufikia kukubali.
contact na apple support na simu ilipo nunuliwa na kama
ilikuwa na sababu itakwambia.

kama unataka shortcut ya haraka tafuta wataalmu wabobezi wanao dili na system za apple service zote kama network lock,icloud,MDM na account
 
Hesabu hasara. Kama ya kuchukulia mkononi ndo imetoka hiyo otherwise contact Apple support kama ni yako. Kwnye picha hiyo umepewa mpaka hint ya email ya Apple ID, maana yake ni kwamba mpaka ameshindwa kukumbuka hiyo email, simu siyo yake. Mtu mwenye iPhone hawezi kuiweke eti imekaa tu haitumii. Hiyo hoja ni dhaifu na haiwezi kukubalika kirahisi hivyo.

iPhone siyo Infinix ndo tatizo.
Kuna software, kwenye Internet zinaweza kuondoa hiyo lock ila tatizo ni kuwa ukishafaitumia ''call funtion'' inakuwa haifanyi kazi. Pia inabidi u jail break simu yako kwanza.
 
Ina toka ila kama ni yako.kuna policy ulishindwa kufikia kukubali.
contact na apple support na simu ilipo nunuliwa na kama
ilikuwa na sababu itakwambia.

kama unataka shortcut ya haraka tafuta wataalmu wabobezi wanao dili na system za apple service zote kama network lock,icloud,MDM na account
Hiyo ya wataalam wabobezi ndiyo wengi wanasema hilo haliwekeni. Jamaa alinunua akasaidiwa ku-creat ID na fundi wa mtaani. Yeye hajui kabisa hata mambo ya email.
 
Wana JF naomba mwenye kujua.

Je, kuna uwezekano wa ''kuifungua'' iphone ambayo inayohitaji activation lock?

Jamaa amesahau Apple ID yake na password kwani hajatumia simu kwa muda mrefu sana.

Amejaribu kui-reset ikiwa kwenye recovery mode akafanikiwa, lakini wakati wa setup ikakwama kwenye activation lock.

Amekwama hapa:
View attachment 2174433
FBI walishindwa kufungua lock ya iphone ndio itakua wewe mmatumbi kutoka chato?

Hiyo simu mrudishie mwenye nayo.
 
Hiyo ya wataalam wabobezi ndiyo wengi wanasema hilo haliwekeni. Jamaa alinunua akasaidiwa ku-creat ID na fundi wa mtaani. Yeye hajui kabisa hata mambo ya email.

labda sijakupa cv yangu mimi ni official GSX na nilistop kwa upuuzi wa wajinga.

Iphone zinatoka labda ujijidanganye tu kuamini azitoki.

mwambie atafute wataalamu huko hakujuwae
 
Hiyo ya wataalam wabobezi ndiyo wengi wanasema hilo haliwekeni. Jamaa alinunua akasaidiwa ku-creat ID na fundi wa mtaani. Yeye hajui kabisa hata mambo ya email.
Kama upo Dar waone Elite computers wapo Pale Moroco nyuma ya yake majengo mapya ya NHC wataweza kukusaidia
 
Ndo kimeshageuka chombo cha kuchezea watoto hicho..😂
Mkuu bakuli lako linalowaka utapenda alichezee nani
 
mbona tunacheza nazo nyingi tu kuna file 3tools uunali open kwenye pc inatakiwa uwe online unaichomeka ina seach ios unaidownload ukimaliza ndoo kwesha
 
Isssue ndogo hiyoo nowadays wahuni wanatoa vzr kabsa ilikuwaa zaman sio sku hz ..
 
Back
Top Bottom