macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
- Thread starter
-
- #21
Wataalam wapi? Toa angalau clue basi. Ameshatafuta akakosa. Wewe kama unajua sehemu nitonye hata kwa PM.labda sijakupa cv yangu mimi ni official GSX na nilistop kwa upuuzi wa wajinga.
Iphone zinatoka labda ujijidanganye tu kuamini azitoki.
mwambie atafute wataalamu huko hakujuwae
Wapi mkuu. Hebu niambie nijaribu. Ukiaona hapa kuna kuku wengi basi unaweza kumwaga mchele wako PM.Isssue ndogo hiyoo nowadays wahuni wanatoa vzr kabsa ilikuwaa zaman sio sku hz ..
Unaweza kwenda in details? Hata kwa PM nitashukuru. file na tools za aina gani na zinapatikanaje?mbona tunacheza nazo nyingi tu kuna file 3tools uunali open kwenye pc inatakiwa uwe online unaichomeka ina seach ios unaidownload ukimaliza ndoo kwesha
Una maana gani ya kusema janja janja? Kuwa simu imepatikana isivyo halali? Never! Mimi hata uniletee ile Iphone 13 Pro Max mpya, ya wizi kwa shilingi laki mbili siwezi kununua. Kwenye maisha yangu nilishajiwekea kanuni kuwa katu siwezi kununua kitu cha wizi unless niwe sijui kabisa kama ni cha wizi.Mkuu acha janja janja.
Nimeipata mkuu. Nimefanya research ya haraka. Sidhani kama inaweza kutatua tatizo langu. Tatizo langu ni kuondoa activation lock ya ID na siyo ku flush simu. Nimesha flush ila imekwama kwenye setup. Nimekwama hapa:Mkuu itafute iyo 3utools ni unyama
Upo mkoa gan mwambaWapi mkuu. Hebu niambie nijaribu. Ukiaona hapa kuna kuku wengi basi unaweza kumwaga mchele wako PM.
Nimepitia pitia post za wadau lakin sijaona kitu bhas naweza kukusaidia maana inawezekana kwa 99% kwanza nahitaji kujua ni iphone ngapi na umeipandisha hadi ios ya ngapi asant NB ikiwa ios 15.. Kuendelea ni high priceWana JF naomba mwenye kujua.
Je, kuna uwezekano wa ''kuifungua'' iphone ambayo inayohitaji activation lock?
Jamaa amesahau Apple ID yake na password kwani hajatumia simu kwa muda mrefu sana.
Amejaribu kui-reset ikiwa kwenye recovery mode akafanikiwa, lakini wakati wa setup ikakwama kwenye activation lock.
Amekwama hapa:
View attachment 2174433
Ni 6 S, na nimei-up date mpaka ios 15 point something..... the latest! NB: Kama ni kui-jail break hata mimi huo ujuzi na software ninayo, (japo mpaka sasa inafanya kazi mpaka ios 14 tu, hivyo itabidi niangalia namna ya ku-downgrade kutoka ios 15 to 14) na nikii-jail break itafunguka na kuwa kama Iphone ya kawaida kabisa na hata apple ID naweza ku-creat lakini kunakuwa na shida moja... ''call'' function haiwezi kufanya kazi + cellullar na pia tatizo la kawaida la kutopata updates.Nimepitia pitia post za wadau lakin sijaona kitu bhas naweza kukusaidia maana inawezekana kwa 99% kwanza nahitaji kujua ni iphone ngapi na umeipandisha hadi ios ya ngapi asant NB ikiwa ios 15.. Kuendelea ni high price
Usiwe na wasiwasi kabisa. Mimi siyo ''mwepesi'' hata kidogo.Kuna dalili ya mtu kuliwa Hela hata kusaidiwa hamna hahahahahah
Mkuu kwa mujibu wa level za majibu yako kwenye uzi wako huu nashawishika pasi na mashaka kuwa HUWEZI kusahau nywila yako au kusahau hadi details za kurecover nywila yakoUsiwe na wasiwasi kabisa. Mimi siyo ''mwepesi'' hata kidogo.
Ungekuwa umesoma post yangu ya mwanzo usingekuwa na hii shaka. Jaribu kusoma.Mkuu kwa mujibu wa level za majibu yako kwenye uzi wako huu nashawishika pasi na mashaka kuwa HUWEZI kusahau nywila yako au kusahau hadi details za kurecover nywila yako
Nawaza tu kwa sauti......usije ukajikuta na “mada kesi” bure
Kila kheri mkuuUngekuwa umesoma post yangu ya mwanzo usingekuwa na hii shaka. Jaribu kusoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rudisha kwa mwenyewe ila usiwe mnyonge nenda telegram search Xiaomi users Tz kuna mnyama mmoja anaitwa YOUNG CEO anacheza nazo hizo kama anavyochezea ugali tu
Cjaomba uzoefu wako wa kutumia software kama unaweza ama huwezi IREMOVE na kampuni mbal mabl zinatoa kwa jair na vitu vyote vinafanya kaz mnapouliz maswali mkihitaji kujua muache ujuajiNi 6 S, na nimei-up date mpaka ios 15 point something..... the latest! NB: Kama ni kui-jail break hata mimi huo ujuzi na software ninayo, (japo mpaka sasa inafanya kazi mpaka ios 14 tu, hivyo itabidi niangalia namna ya ku-downgrade kutoka ios 15 to 14) na nikii-jail break itafunguka na kuwa kama Iphone ya kawaida kabisa na hata apple ID naweza ku-creat lakini kunakuwa na shida moja... ''call'' function haiwezi kufanya kazi + cellullar na pia tatizo la kawaida la kutopata updates.
Kuandika kiswahili hujui, utawezaje kuelewa nilichoandika sembuse mambo ya software? Infeority complex inakusumbua kiasi cha kuona maelezo ya kawaida kabisa niliyondika eti ni ''uzoefu wa kutumia software''.Cjaomba uzoefu wako wa kutumia software kama unaweza ama huwezi IREMOVE na kampuni mbal mabl zinatoa kwa jair na vitu vyote vinafanya kaz mnapouliz maswali mkihitaji kujua muache ujuaji