Msaada: Unga wa mbegu za Mlonge

Msaada: Unga wa mbegu za Mlonge

rajshar

Member
Joined
Oct 2, 2014
Posts
59
Reaction score
5
Nilisaga unga wa mbegu za mlonge. Nikaweka kijiko kimoja kwenye chai siku ya kwanza, tumbo langu harikua poa siku hyo niliarish kidogo. Siku iliyofuata ikawa hvyo hvyo. Sasa ndo nilikua natoa takataka za tumbona au inanidhuru. Msaada maana nimeacha kabisa kuitumia.
 
Nilisaga unga wa mbegu za mlonge. Nikaweka kijiko kimoja kwenye chai siku ya kwanza, tumbo langu harikua poa siku hyo niliarish kidogo. Siku iliyofuata ikawa hvyo hvyo. Sasa ndo nilikua natoa takataka za tumbona au inanidhuru. Msaada maana nimeacha kabisa kuitumia.
Mbegu


  • Mbegu za mti wa Moringa ni kinga dhidi ya vijidudu (bacteria) wasababishao magonjwa na kuathiri ngozi.
  • Pia mbegu hutuminka katika kusafisha au kuchuja maji ambapo zikipondwa na kuwekwa kwenye maji yenye tope au machafu husababisha uchafu kujikusanya na kuzama chini kisha kuacha maji yakiwa safi na salama kwa kupikia au kunywa baada ya kuchemsha.

Sasa wewe kuharisha ndio umeogopa? Si ulikuwa unatoa uchafu ulioko tumboni mwako Mkuu.@
rajshar
 
Kuna kipindi kama tumbo limejaa. Ukiweka mlonge mwing unaharisha na ges yote inatoka tumbo linakua ok. Mm huwa inanitokea hivyo mara moja moja. Usiache kutumia. Bt usiweke mwingii hadi ukakukera if haumwi. Cz unatibu taratibu ; kunywa kama kiburudisho tu na sio kama dawa. Matokeo utayaona baadaye bila kutegemea. Usiache kutumia atlst hata mara moja kwa siku tumia. Cjui if nimesaidia kwa maelezo. Wengine watakujuza zaid
 
Mbegu


  • Mbegu za mti wa Moringa ni kinga dhidi ya vijidudu (bacteria) wasababishao magonjwa na kuathiri ngozi.
  • Pia mbegu hutuminka katika kusafisha au kuchuja maji ambapo zikipondwa na kuwekwa kwenye maji yenye tope au machafu husababisha uchafu kujikusanya na kuzama chini kisha kuacha maji yakiwa safi na salama kwa kupikia au kunywa baada ya kuchemsha.

Sasa wewe kuharisha ndio umeogopa? Si ulikuwa unatoa uchafu ulioko tumboni mwako Mkuu.@
rajshar

Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom