mimi ni miongoni mwa wanafunzi waliochaguliwa chuo hicho lakini mpaka sasa sijafahamu ni siku gani hasa tunatakiwa kuripoti chuoni maana nikiangalia katika website yao sijaona taarifa rasmi ya kulipoti chuoni.Kama kuna yeyote aliyepata kufahamu lolote juu ya jambo hilo naomba anijuze na kama kuna chochote cha kunifahamisha kuhusu chuoni hapo naomba asisite kunipasha habari...thespecialjay@hotmail.com:help: