Msaada ununuzi wa nyumba

Sideeq

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2009
Posts
2,422
Reaction score
434
Nilitaka kununua nyumba wamiliki ni warithi (nyumba ya urithi) mmoja wa wa warithi wa nyumba hapatikani yuko nje ya nchi lakini ndugu zake watatu walikuwa tayari "tumalize" kila kitu.

Hati zimechekiwa ni sahihi na kila kitu kipo sawa isipokuwa nilisita kutokana na mrithi mmoja kuwa nje ya nchi, hapatikani na hakuna hati yoyote ya kifo chake.

Nimeshaamua kuwa sitainunua kutokana na utata huu, swali je uamuzi wangu ulikuwa sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…