N
aam nilikua napitia katika website ya nacte http://41.93.40.134:8080/noavs/Closed.jsp nimekuta kuna ujumbe wa msisitizo unaosomeka hivi
Kindly be informed that admission cycle for academic year 2019/2020 is officially closed for all Online Applications.
Tunapenda kukutaarifu kwamba zoezi la udahili kwa mwaka wa masomo 2019/2020 limefungwa rasmi kwa kozi zote kwa maombi ya kupitia mtandao.
kwa aliemzoefu na masuala haya ya uombaji nafasi za kuchukua diploma upande wa kozi za afya kuna awamu ngapi za uombaji nafasi??
Kindly be informed that admission cycle for academic year 2019/2020 is officially closed for all Online Applications.
Tunapenda kukutaarifu kwamba zoezi la udahili kwa mwaka wa masomo 2019/2020 limefungwa rasmi kwa kozi zote kwa maombi ya kupitia mtandao.
kwa aliemzoefu na masuala haya ya uombaji nafasi za kuchukua diploma upande wa kozi za afya kuna awamu ngapi za uombaji nafasi??