Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,362
Naomba kufahamu haya yafuatayo,
1. Kiasi cha upepo kinachofaa kuwekwa kwenye tyre za mbele na nyuma ( naongelea hzi gari zetu za kawaida siyo malori)
2. Mara ngapi unatakiwa kucheki kiasi cha upepo kwenye tyre na kujaza kwa tubeless tyres.
3. Brand nzuri za tyres
4. Nyongeza: Sport rims nzuri ( na sii ile miogo inayovunjika kwenye humps) zinapatikana wapi
Natanguliza shukrani zangu za dhati
1. Kiasi cha upepo kinachofaa kuwekwa kwenye tyre za mbele na nyuma ( naongelea hzi gari zetu za kawaida siyo malori)
2. Mara ngapi unatakiwa kucheki kiasi cha upepo kwenye tyre na kujaza kwa tubeless tyres.
3. Brand nzuri za tyres
4. Nyongeza: Sport rims nzuri ( na sii ile miogo inayovunjika kwenye humps) zinapatikana wapi
Natanguliza shukrani zangu za dhati