Zinapatikana wapi..bei ipoje
Sawa mkuuKaeni chonjo
unajuje kama umepungua kiasi kidogo lets say 2psiKila gari unapofungua mlango wa dereva angalia pembeni kuna sehemu imeandikwa ujazo wa matairi unaonyesha ni kiasi gani unatakiwa ujaze pia inaonyesha kama unapakia watu zaidi ujaze kiasi gani.
Ni vizuri kila unapowasha gari kuangalia matairi yote kwa ujumla kwani huwezi kujua kama ulikanyaga msumari
Inatakiwa uwe na hiki kifaa pichani. Kinatwa Tire Pressure Gauge Meterunajuje kama umepungua kiasi kidogo lets say 2psi
Huwezi kujua kama umepungua kidogo ila kama ni slow puncture utajua tuunajuje kama umepungua kiasi kidogo lets say 2psi
upepo mbele 35 nyuma 40, cheki kila baada ya wiki mbili, na unapoenda kucheki gari isiwe imetembea zaidi ya km 2, brand nzuri good year, hapo kwenye sports rim sina uhakika
Kwanini iwe 35 mbele ma 40 nyuma ikiwa gari yangu sio ya mizigo ni saloon car mfano Toyota Allion. Nifafanulie tafadhaliupepo mbele 35 nyuma 40, cheki kila baada ya wiki mbili, na unapoenda kucheki gari isiwe imetembea zaidi ya km 2, brand nzuri good year, hapo kwenye sports rim sina uhakika
Na ni vizuri ukapima asubuhi kabla ya jua kuwa kali kwani hewa ikipata joto huongezeka ujazo na hivyo hutapata vipimo sahihi.upepo mbele 35 nyuma 40, cheki kila baada ya wiki mbili, na unapoenda kucheki gari isiwe imetembea zaidi ya km 2, brand nzuri good year, hapo kwenye sports rim sina uhakika