Habarin wakuu,
Nimepata tatzo hapa,kwa bahat mbaya mke,amepaka hii dawa mtoto maeneo ambayo. Imekatazazwa kama kichwani,na usoni,ndio gafla ameanza kulia, tumejaribu muogesha sana na maji ndio amepata usingiz na nimeshindwa kwenda kituo cha kariibu cha afya MSaada,je nikisubil hadi Kesho asubh ili nimwahishe hospital itakua na madhara zaod kwa mtoto?
Nimepata tatzo hapa,kwa bahat mbaya mke,amepaka hii dawa mtoto maeneo ambayo. Imekatazazwa kama kichwani,na usoni,ndio gafla ameanza kulia, tumejaribu muogesha sana na maji ndio amepata usingiz na nimeshindwa kwenda kituo cha kariibu cha afya MSaada,je nikisubil hadi Kesho asubh ili nimwahishe hospital itakua na madhara zaod kwa mtoto?