Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google boss Google....utapata majibu.😆😆😆 Ila ulifika mbezi pale stend hakuna sehemu unavyotaka kwenda ukaikosa😆😏labda tu utakosa gari unapotaka mfano unataka business class Ila ukapata ordinary class..Ila sisi tunaotembeatembea ninavojua miono iko chalinze huko..Habari Wakuu?
Nategemea kwenda Miono .
Ila sijui usafiri wake kwa jiji la Dar unapatikana wapi? Na nauli ni kiasi gani?
Ahsante sana kwa msaada wenu.
Mbezi kwenye stand ya daladalaHabari Wakuu?
Nategemea kwenda Miono. Ila sijui usafiri wake kwa jiji la Dar unapatikana wapi? Na nauli ni kiasi gani?
Ahsante sana kwa msaada wenu.
TEGETA gari za Bagamoyo ndiko zinakopita, humu JF tunadili na mabasi tu sio gari, kituo cha kwanza Segera au Morogoro.Habari Wakuu?
Nategemea kwenda Miono. Ila sijui usafiri wake kwa jiji la Dar unapatikana wapi? Na nauli ni kiasi gani?
Ahsante sana kwa msaada wenu.