Wambie Wasikie
Member
- Mar 6, 2019
- 70
- 71
Kwanini usitumie .com?Habari wanaJamiiForums
Nina mpango wa kusajili website yangu itakayohusu masuala ya kitaaluma, na nilitamani iwe na kikoa cha DOT ACADEMY (.academy) ukizingatia kwamba kwa . TZ sijaona domain yenye mantiki ya kielimu mbali na kuwa taasisi.
Wasiwasi wangu upo kisheria, na hapa ndipo ulipo msingi wa OMBI LANGU LA MSAADA KUTOKA KWENU.
Je, nitakuwa salama kisheria kusajili WEBSITE ambayo SI YA DOT TZ?
ZINGATIA: Ni elimu ya online, sio taasisi ya ana kwa ana.
Naomba kuwasilisha!
Asante. Ikikupendeza naimba unifafanulie kidogo boss.Inawezekana kujisajili kwa ext hiyo mkuu..kuhusu jina la domain sidhani kama wanafuatilia..kinachofuatiliwa ni maudhui ya kinachochapiswa ktk hiyo website
Kwanini usitumie .com?
Vizuri sana.Funguka zaidi kitaalma katika nyanja ipi??
Ya Elimu kuhusu nini?? Tarfet yako iwafike watu gani? /niche
Unataka uipromote world wide , au ni kwa wa Tz pekee?
Na unafikiri ni kwanini usifungue ya .com??
Sasa wewe audience yako ni nje alafu hutaki kutumia .com! Ukikaa kuumiza kichwa na hizi sheria uchwara za bongo hutatoboa.Vizuri sana.
Focus yangu ni kutoa mentoship tu: elimu ya masuala mtambuka, ushauri na kufundisha Kiswahili kwa wageni.
Target kubwa ni vijana wa na wageni/worldwide (kwa upande wa Kiswahili)
Hofu ya kufungua .com ni utata wa sheria inayosema KILA KAMPUNI/ORGANIZATION YA TANZANIA LAZIMA ISAJILIWE NA DOMAIN YA .TZ
Fungua .com tu mkuu!Vizuri sana.
Focus yangu ni kutoa mentoship tu: elimu ya masuala mtambuka, ushauri na kufundisha Kiswahili kwa wageni.
Target kubwa ni vijana wa na wageni/worldwide (kwa upande wa Kiswahili)
Hofu ya kufungua .com ni utata wa sheria inayosema KILA KAMPUNI/ORGANIZATION YA TANZANIA LAZIMA ISAJILIWE NA DOMAIN YA .TZ