Msaada usajili wa jarida/magazine nchini Tanzania

Matanzia kizebazeba

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
654
Reaction score
630
Ndugu wanajamvi msaada kwa kipi cha kufanya ili kuweza kufanya usajili wa jarida /magazine.

Nataka kufanya ujasiriamali kwa uzalishaji wa magazine ni nn cha kufanya ili niweze kucomply na kuweza kuingiza sokoni, gharama za compliance pia msaada please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…