The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Habari wakuu,
Nimepata simu kutoka kwa rafiki yangu akinieleza kuwa mwanae anayetegemea kurisit ameshindwa kupata usajiri kwani kila akijaribu ku-add namba ya mtihani ya shule alyofanyia mtihani inakataa, nikamwambia labda wamekosea namba wakanambia hapana, sikuweza kutoa msaada wowote na ndio nimeamua kuwaeleza wana-education tatizo ni nini? najua walisema mwisho ni tar 30 mwezi huu ila mtoto ameenda kujaza form mchana.
Nimepata simu kutoka kwa rafiki yangu akinieleza kuwa mwanae anayetegemea kurisit ameshindwa kupata usajiri kwani kila akijaribu ku-add namba ya mtihani ya shule alyofanyia mtihani inakataa, nikamwambia labda wamekosea namba wakanambia hapana, sikuweza kutoa msaada wowote na ndio nimeamua kuwaeleza wana-education tatizo ni nini? najua walisema mwisho ni tar 30 mwezi huu ila mtoto ameenda kujaza form mchana.