Msaada usajiri wa NACTE

Msaada usajiri wa NACTE

The Intelligent

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
2,459
Reaction score
824
Habari wakuu,
Nimepata simu kutoka kwa rafiki yangu akinieleza kuwa mwanae anayetegemea kurisit ameshindwa kupata usajiri kwani kila akijaribu ku-add namba ya mtihani ya shule alyofanyia mtihani inakataa, nikamwambia labda wamekosea namba wakanambia hapana, sikuweza kutoa msaada wowote na ndio nimeamua kuwaeleza wana-education tatizo ni nini? najua walisema mwisho ni tar 30 mwezi huu ila mtoto ameenda kujaza form mchana.
 
Back
Top Bottom