Msaada: Ushauri nimeamua kulima

PastorA

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
361
Reaction score
275
Habari wananchi wenzangu, nimeazimia kulima shamba lakini nimeona hili ni jukwaa husika kwa hizi habari za kilimo sasa naomba ushauri kwa miezi hii ni mazao gani ambayo naweza kufanikiwa nikilima?
Lengo langu kuu ni kulima mazao ya mboga mboga na Chakula,
Naomba msaada wa mawazo na maeneo ambayo naweza kulima.
Asante waungwana karibuni sana.
 
Hapo kuna mambo mengi sana ya kuzingatia. Kwanza upo eneo gani, hali ya hewa inafaa ulime nini, je maji ni ya mvua au umwagiliaji?, soko linahitaji bidhaa gani, kwa kiasi gani na lini, je shamba unalo au unakodi, gharama za uzalishaji ni zipi, utalifikiaje soko? na mengine mengi mkuu.
 
Kitu kinaitwa kilimo huwa lazima ufate kanuni kabla ya kulima. Kanuni hizo ni hiziapa
1)Ardhi
2)hali ya hewa la eneo hilo
3) naujue eneo hilo linaitaji kilimo gani
4) naufahamu sehemu hiyo inaitajika kwa majira gani miezi ya mwazoni au miezi ya mwisho ya mwaka ukishajua hapo sasa ndounaaza kujuaa ahaa kiangazi inatakiwa kilimo gani na masika kilimo gani kama mazao mengine haitaji maji mengi kama mfano! Maharage viazin.k mazao yanaitaji maji tunajua sana tusikae tukapoteza mda. Kwasasa watanzania mazao mengi na nineema kwetu watanzania ni mahindi tunajua faida ya mahindi kufanya kuwa biashara na hufanya kuwa chakula cha wanga tunasema unga ambao watanzania wengi tunapenda ugali tunaju familia zetu za kibongo hali zao zachini uwa zinawasovu sana familia za kimasikini ila huwa inatufaidisha sana kiuchumi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…