Msaada/ Ushauri tafadhali

Msaada/ Ushauri tafadhali

Msindima

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2009
Posts
1,018
Reaction score
35
Wanajamii habarini za mchana,
Nahitaji ushauri wenu katika hili swala limenitatiza sana,mwishoni mwa wiki iliyopita nilipata msiba wa Babu yangu huko kwetu Tanga,na nilipata taarifa jioni ya siku ya jumamosi,nikajiandaa kwa safari kwenda kuwa-join wazazi wangu kwa msiba uliokuwa umetupata,niliwapa taarifa ndugu,jamaa na marafiki kuwa nimepata msiba na jumapili asubuhi nategemea kusafiri ili niwahi mazishi,katika watu amabao niliwapa taarifa ni pamoja na mchumba japo tulikuwa na kamgogoro ka muda mrefu lakini nikaona nimpe taarifa ili asije akasikia kwa marafiki zangu ikaleta shida,nilimtumia sms lakini hakunijibu chochote na ilipofika jumapili asubuhi nilianza safari,mchana kwenye mida ya saa saba ndo nikapokea msg akiniuliza kuwa ni msiba wa nani? na ninakwenda wapi kuzika? nikamjibu ni msiba wa babu yangu na ninakwenda Handeni kuzika baada ya hapo akapiga kimya,lakini nilijiuliza sana kwa nini anyamaze muda wote huo aje aniulize siku ya pili yake,nikaamua kumwuliza jana hukupata msg yangu akaniambia nilipata nikamwambia sawa nikaamua nisiendelee na maswali mengine,nashukuru niliwahi kufika na nikawahi mazishi,na baada ya kukaa huko kwa siku 2 nikarudi maana kazini nilipewa siku 2 tu,kwa kweli wakati narudi sikuona umuhimu wa kumweleza kama narudi kwa sababu hata nilipomweleza nimefiwa response yake sikuifurahia,baada ya kurudi ilipita siku moja na siku ya 2 nilipokea msg toka kwake akilaumu kuwa nasikia tu kwa watu umerudi na ninaelewa kuwa uko mjini na umeshaanza kazi,hiyo kauli pia sikuifurahia nikamwambia hivi wewe hata kuniuliza huko nilikokwenda mambo yameendaje huuulizi unaanza tu kuniambia kuwa unajua niko mjini na sikukwambia kama nimerudi wale ambao ni wa maana kwangu ndo nimewambia nimerudi,kwa kweli nilimwelieza ukweli kuwa sikufurahishwa na jinsi ulivyolipokea tatizo tangu mwanzo kwa hiyo hata wakati narudi pia sikuona umuhimu wa kukueleza kuwa narudi,nilipomjibu hivyo kikazuka kitimtimu huna heshima,una dharau sana,tuachane,nikamwambia kama umedhamiria hayo its fine,nilipomweleza hivyo akaendelea na nitakuja nikushtaki kwa wazazi wako kuwa huniheshimu,nikamwuliza wewe ni kama nani kwangu na kwa familia yangu mpaka uje unishtaki kwa wazazi wangu? na wakati hujajitambulisha na wazazi wangu hawakutambui unaendaje? nilipomwuliza hayo maswali akaanza tena unaona hunithamini,huniheshimu wala hunijali.

Sasa wadau hebu nisaidieni kosa langu hapo ni nini?
Ushauri wenu ni muhimu sana,Nawatakia weekend njema!!
 
Wanajamii habarini za mchana,
Nahitaji ushauri wenu katika hili swala limenitatiza sana,mwishoni mwa wiki iliyopita nilipata msiba wa Babu yangu huko kwetu Tanga,na nilipata taarifa jioni ya siku ya jumamosi,nikajiandaa kwa safari kwenda kuwa-join wazazi wangu kwa msiba uliokuwa umetupata,niliwapa taarifa ndugu,jamaa na marafiki kuwa nimepata msiba na jumapili asubuhi nategemea kusafiri ili niwahi mazishi,katika watu amabao niliwapa taarifa ni pamoja na mchumba japo tulikuwa na kamgogoro ka muda mrefu lakini nikaona nimpe taarifa ili asije akasikia kwa marafiki zangu ikaleta shida,nilimtumia sms lakini hakunijibu chochote na ilipofika jumapili asubuhi nilianza safari,mchana kwenye mida ya saa saba ndo nikapokea msg akiniuliza kuwa ni msiba wa nani? na ninakwenda wapi kuzika? nikamjibu ni msiba wa babu yangu na ninakwenda Handeni kuzika baada ya hapo akapiga kimya,lakini nilijiuliza sana kwa nini anyamaze muda wote huo aje aniulize siku ya pili yake,nikaamua kumwuliza jana hukupata msg yangu akaniambia nilipata nikamwambia sawa nikaamua nisiendelee na maswali mengine,nashukuru niliwahi kufika na nikawahi mazishi,na baada ya kukaa huko kwa siku 2 nikarudi maana kazini nilipewa siku 2 tu,kwa kweli wakati narudi sikuona umuhimu wa kumweleza kama narudi kwa sababu hata nilipomweleza nimefiwa response yake sikuifurahia,baada ya kurudi ilipita siku moja na siku ya 2 nilipokea msg toka kwake akilaumu kuwa nasikia tu kwa watu umerudi na ninaelewa kuwa uko mjini na umeshaanza kazi,hiyo kauli pia sikuifurahia nikamwambia hivi wewe hata kuniuliza huko nilikokwenda mambo yameendaje huuulizi unaanza tu kuniambia kuwa unajua niko mjini na sikukwambia kama nimerudi wale ambao ni wa maana kwangu ndo nimewambia nimerudi,kwa kweli nilimwelieza ukweli kuwa sikufurahishwa na jinsi ulivyolipokea tatizo tangu mwanzo kwa hiyo hata wakati narudi pia sikuona umuhimu wa kukueleza kuwa narudi,nilipomjibu hivyo kikazuka kitimtimu huna heshima,una dharau sana,tuachane,nikamwambia kama umedhamiria hayo its fine,nilipomweleza hivyo akaendelea na nitakuja nikushtaki kwa wazazi wako kuwa huniheshimu,nikamwuliza wewe ni kama nani kwangu na kwa familia yangu mpaka uje unishtaki kwa wazazi wangu? na wakati hujajitambulisha na wazazi wangu hawakutambui unaendaje? nilipomwuliza hayo maswali akaanza tena unaona hunithamini,huniheshimu wala hunijali.

Sasa wadau hebu nisaidieni kosa langu hapo ni nini?
Ushauri wenu ni muhimu sana,Nawatakia weekend njema!!

...msindima huna kosa!
 
Msindima
Pole sana, hukuwa na kosa. Tatizo ni kuwa mlikuwa na mgogoro wakati umepatwa na msiba japokuwa mchumba wako alitakiwa kuwa na wewe kukupa pole/kukufariji kwa kuweka ugomvi pembeni.
 
Msindima, baada ya kusoma maelezo yako nimeshindwa kuamini kama huyu ni mchumba kwa matendo yake, hata kama mmegombana kwa vile umepatwa na tatizo tena la msiba alipaswa kuweka yote pembeni na kuona jinsi gani ajihusishe. Sisemi kuwa alilazimika kuja msibani la hasha, angeweza kufuatilia msiba kwa karibu kupitia simu.

Wewe ndie unamfahamu huyu mtu vizuri na misingi ya relationship yenu. Angalia kama huyu ndie unaetaka kuspend nae the rest of your life. Relationship ambayo inabase kwa mmoja kumbembeleza bembeleza na kumuogopa mwingine ili kuihold hapo kuna kasoro. Ukiona mtu ni mwepesi wa kukutamkia tuachane bila sababu za msingi ujue hapo mguu mmoja ndani mguu mmoja nje so s/he is just looking for an excuse so don’t blame yourself.
 
Pole Msindima, huyo Bf wako ni wale wanaume wasiojua kujali wapenzi wao.Sasa wewe umefiwa halafu yeye anaonyesha wala hajali vile, na wakati angeweka huo ugomvi wenu pembeni akufariji kwa msiba wa babu, kwa kukutumia sms na hata kupiga simu mara nyingi nyingi.
Ndio hivyo shost dalili ya mvua ni mawingu na nyota njema huonekana asubuhi. Hivi sasa tu hajaonekana kwa wazazi yupo hivi, akikuweka ndani.....MHHHH! Anyway wewe ndio unamjua zaidi. Hivyo ulivyomfanyia upo right kabisa, wala mie sijaona kosa lako.
 
...katika watu amabao niliwapa taarifa ni pamoja na mchumba japo tulikuwa na kamgogoro ka muda mrefu lakini nikaona nimpe taarifa ili asije akasikia kwa marafiki zangu ikaleta shida,nilimtumia sms lakini hakunijibu chochote na ilipofika jumapili asubuhi nilianza safari,mchana kwenye mida ya saa saba ndo nikapokea msg akiniuliza kuwa ni msiba wa nani? na ninakwenda wapi kuzika? nikamjibu ni msiba wa babu yangu na ninakwenda Handeni kuzika baada ya hapo akapiga kimya,lakini nilijiuliza sana kwa nini anyamaze muda wote huo aje aniulize siku ya pili yake,nikaamua kumwuliza jana hukupata msg yangu akaniambia nilipata nikamwambia sawa nikaamua nisiendelee na maswali mengine,nashukuru niliwahi kufika na nikawahi mazishi,na baada ya kukaa huko kwa siku 2 nikarudi maana kazini nilipewa siku 2 tu,kwa kweli wakati narudi sikuona umuhimu wa kumweleza kama narudi kwa sababu hata nilipomweleza nimefiwa response yake sikuifurahia,baada ya kurudi ilipita siku moja na siku ya 2 nilipokea msg toka kwake akilaumu kuwa nasikia tu kwa watu umerudi na ninaelewa kuwa uko mjini na umeshaanza kazi,hiyo kauli pia sikuifurahia nikamwambia hivi wewe hata kuniuliza huko...

...pamoja na kamgogoro ka muda mrefu, KWANINI mmeng'ang'ania kutumiana sms tu? huduma zote za mazungumzo ya bure kwa simu 'jiachie', 'jirushe' etc hamzitaki? hata kuonana uso kwa uso pia ni ngumu?

Huna kosa, wote mnamakosa. Jirekebisheni.
 
Wanajamii habarini za mchana,
Nahitaji ushauri wenu katika hili swala limenitatiza sana,mwishoni mwa wiki iliyopita nilipata msiba wa Babu yangu huko kwetu Tanga,na nilipata taarifa jioni ya siku ya jumamosi,nikajiandaa kwa safari kwenda kuwa-join wazazi wangu kwa msiba uliokuwa umetupata,niliwapa taarifa ndugu,jamaa na marafiki kuwa nimepata msiba na jumapili asubuhi nategemea kusafiri ili niwahi mazishi,katika watu amabao niliwapa taarifa ni pamoja na mchumba japo tulikuwa na kamgogoro ka muda mrefu lakini nikaona nimpe taarifa ili asije akasikia kwa marafiki zangu ikaleta shida,nilimtumia sms lakini hakunijibu chochote na ilipofika jumapili asubuhi nilianza safari,mchana kwenye mida ya saa saba ndo nikapokea msg akiniuliza kuwa ni msiba wa nani? na ninakwenda wapi kuzika? nikamjibu ni msiba wa babu yangu na ninakwenda Handeni kuzika baada ya hapo akapiga kimya,lakini nilijiuliza sana kwa nini anyamaze muda wote huo aje aniulize siku ya pili yake,nikaamua kumwuliza jana hukupata msg yangu akaniambia nilipata nikamwambia sawa nikaamua nisiendelee na maswali mengine,nashukuru niliwahi kufika na nikawahi mazishi,na baada ya kukaa huko kwa siku 2 nikarudi maana kazini nilipewa siku 2 tu,kwa kweli wakati narudi sikuona umuhimu wa kumweleza kama narudi kwa sababu hata nilipomweleza nimefiwa response yake sikuifurahia,baada ya kurudi ilipita siku moja na siku ya 2 nilipokea msg toka kwake akilaumu kuwa nasikia tu kwa watu umerudi na ninaelewa kuwa uko mjini na umeshaanza kazi,hiyo kauli pia sikuifurahia nikamwambia hivi wewe hata kuniuliza huko nilikokwenda mambo yameendaje huuulizi unaanza tu kuniambia kuwa unajua niko mjini na sikukwambia kama nimerudi wale ambao ni wa maana kwangu ndo nimewambia nimerudi,kwa kweli nilimwelieza ukweli kuwa sikufurahishwa na jinsi ulivyolipokea tatizo tangu mwanzo kwa hiyo hata wakati narudi pia sikuona umuhimu wa kukueleza kuwa narudi,nilipomjibu hivyo kikazuka kitimtimu huna heshima,una dharau sana,tuachane,nikamwambia kama umedhamiria hayo its fine,nilipomweleza hivyo akaendelea na nitakuja nikushtaki kwa wazazi wako kuwa huniheshimu,nikamwuliza wewe ni kama nani kwangu na kwa familia yangu mpaka uje unishtaki kwa wazazi wangu? na wakati hujajitambulisha na wazazi wangu hawakutambui unaendaje? nilipomwuliza hayo maswali akaanza tena unaona hunithamini,huniheshimu wala hunijali.

Sasa wadau hebu nisaidieni kosa langu hapo ni nini?
Ushauri wenu ni muhimu sana,Nawatakia weekend njema!!
Msindima,
Dalili ya mvua ni mawingu.
Wakati wa uchumba ndio wakati wa kutambuana.
Kosa kama ili na hasira kama hizi wakati wa uchumba mmmhhhhh. Haya hata mkioana yatakuja kuwa hivi hivi tena zaidi ya hivi.
Jitafutie mwingine.
 
msindima pole sana kwa msiba, pili pole wka hiyo hali ya sintofahamu..ninavoona huyo BF wako wala sio mchumba wa kumtegemea,,,ijapokuwa sio kawaida kushauri watu waachane lakini kinga ni bora kuliko tiba...kakma hamtaweza kumaliza tofauti zanu za mwanzo na kama kuna kuwekeana visasi kama hivi, nadhani hakutakuwa na mwisho mzuri. Ulivofanya hujakosea, sema hali hii imetokea mkiwa na kamgogoro tayari. Ushauri ni kuwa kama inawezekana malizaneni kwen hako kamgogoro, kasipoisha basi ujue haikumaanishwa muishi pamoja.
 
Msindima acha hao wasio jua kupenda,jaribu kuni Pm upate faraja ya kweli.
Ni dhahiri ana hamu sana ya kuachana na wewe.
 
awali ya yote pole kwa msiba.

naamini ingekuwa vyema kama huyo rafikiyo ungepata japo
wasaa na kumpigia simu kumueleza habari za msiba. hii mambo
ya kutumia sms nadhani ulijikwaa hasa hasa ikizingatiwa tayari
mlikuwapo kwenye mgongano (ambao hujaueleza kiundani).

inawezekana kwamba mwenzako ametafsiri kumtumia sms kama
ishara ya mwendelezo wa ugomvi wenu na yeye humuoni kama
mtu wa karibu kwako aliyehitaji kupewa taarifa hizo za msiba kwa
kumpigia simu/ana kwa ana.

kama kweli wampenda mtafute muongee kiutu uzima myamalize.
sms iweke kando kidogo
 
...pamoja na kamgogoro ka muda mrefu, KWANINI mmeng'ang'ania kutumiana sms tu? huduma zote za mazungumzo ya bure kwa simu 'jiachie', 'jirushe' etc hamzitaki? hata kuonana uso kwa uso pia ni ngumu?

Huna kosa, wote mnamakosa. Jirekebisheni.

Mkuu ilinibidi nimtumie sms kwa sababu nilijua fika kwa vile kulikua na mgogoro hata ningempigia simu asingepokea,kwa hiyo ikanibidi nimtumie sms,na pia kuonana uso kwa uso ilikua ni ngumu kwa sababu nimepata taarifa jioni sana na wazazi wangu wanaishi mbali kidogo na ninapoishi mimi kwa hiyo ilinilazimu kwanza kumtafuta mtu atakaekuwa anakuja kuangalia nyumba yangu na ndipo niondoke niende kwa wazazi wangu maana nao hawakuwepo ili nijue kwanza nitasafiri na wadogo zangu wangapi na nani anabaki kule kwa wazazi kwa hiyo kwa mlolongo huo nisingeweza kumtafuta tuonane uso kwa uso.
 
awali ya yote pole kwa msiba.

naamini ingekuwa vyema kama huyo rafikiyo ungepata japo
wasaa na kumpigia simu kumueleza habari za msiba. hii mambo
ya kutumia sms nadhani ulijikwaa hasa hasa ikizingatiwa tayari
mlikuwapo kwenye mgongano (ambao hujaueleza kiundani).

inawezekana kwamba mwenzako ametafsiri kumtumia sms kama
ishara ya mwendelezo wa ugomvi wenu na yeye humuoni kama
mtu wa karibu kwako aliyehitaji kupewa taarifa hizo za msiba kwa
kumpigia simu/ana kwa ana.

kama kweli wampenda mtafute muongee kiutu uzima myamalize.
sms iweke kando kidogo

Kafara nilishindwa kumpigia simu kwa sababu huwa zinapojitokeza tofauti kati yetu ukimpigia hapokei kwa hiyo nilielewa kuwa nitakapo mpigia asingepokea nikaona njia rahisi nimtumie sms

Mkuu kumtafuta tuyaongee nashindwa kwa sababu nimechoka na vituko vyake,maana si mara moja kujitokeza haya,hata napokuwa naumwa ukimjulisha wala haonyeshi kujali.
 
pole sana kwa mcba mami....mie mwanaume wa kukwaruzana kidogo anarukia neno "tuachane" ananikera kweli...kha
 
Kafara nilishindwa kumpigia simu kwa sababu huwa zinapojitokeza tofauti kati yetu ukimpigia hapokei kwa hiyo nilielewa kuwa nitakapo mpigia asingepokea nikaona njia rahisi nimtumie sms

Mkuu kumtafuta tuyaongee nashindwa kwa sababu nimechoka na vituko vyake,maana si mara moja kujitokeza haya,hata napokuwa naumwa ukimjulisha wala haonyeshi kujali.

umcal ya nini tena kama sms ameipata hajajigusa?....afadhali hata angechelewa kukujibu may b alikuwa mbali na cmu sio hiyo yake ya kujibu kesho yake, ukimnyenyekea man bwana nayo kero....
 
pole sana!
nikikushauri uachane nae nitakuwa siitendei nafsi yako haki,kwa maana umeshapenda.kwa sasa ninaweza kusema VUMILIA TU!mombe mungu.huo ndio msalaba wako
 
Pole ila mdogo angu uchumba tu unakuwa hivi? basi ndoa na makwazo yake ataikimbia nyumba na kukuzimia simu, uchumba ni kipindi cha amani, furaha na upendo, hakuna mizigo wala karaha za ndani labda za nje tu.
Pamoja na yote ninakuonya huu uchumba HAUKUFAI: you as you are, coz wewe na yeye wote mko too proud; hiyo ya "kununiana, kutotembeleana, kuvizia coz asingejibu" shows wewe sio type ya kumbembeleza mtu, so call it a day.
 
pole sana!
nikikushauri uachane nae nitakuwa siitendei nafsi yako haki,kwa maana umeshapenda.kwa sasa ninaweza kusema VUMILIA TU!mombe mungu.huo ndio msalaba wako

Kaka naona uvumilivu wangu sasa umefika mwisho,am fade up,naona ni vizuri tu kwanza niamue kutulia na kufanya mambo mengine,huo msalaba sitauweza naona kwangu utakuwa haubebeki.
Nimejaribu kutafakari sana kwa kina kama sasa hivi hajajitambulisha kwetu mambo yako shaghalabaghala je akijitambulisha itakuwaje? na je tukijakuishi pamoja itakuwaje?
 
Kaka naona uvumilivu wangu sasa umefika mwisho,am fade up,naona ni vizuri tu kwanza niamue kutulia na kufanya mambo mengine,huo msalaba sitauweza naona kwangu utakuwa haubebeki.
Nimejaribu kutafakari sana kwa kina kama sasa hivi hajajitambulisha kwetu mambo yako shaghalabaghala je akijitambulisha itakuwaje? na je tukijakuishi pamoja itakuwaje?

how old is MR RIGHT?
 
Pole ila mdogo angu uchumba tu unakuwa hivi? basi ndoa na makwazo yake ataikimbia nyumba na kukuzimia simu, uchumba ni kipindi cha amani, furaha na upendo, hakuna mizigo wala karaha za ndani labda za nje tu.
Pamoja na yote ninakuonya huu uchumba HAUKUFAI: you as you are, coz wewe na yeye wote mko too proud; hiyo ya "kununiana, kutotembeleana, kuvizia coz asingejibu" shows wewe sio type ya kumbembeleza mtu, so call it a day.

Asante kwa ushauri wako,Mama Joe nilishabembeleza sana vya kutosha na sasa naona imefika mwisho,namwelewa vizuri sana na ndo maana nikasema kuwa inapotokea migogoro huwa ukimpigia simu hapokei,ningefanyeje? any way nitakupm kuna mambo nitakushirikisha i hope utanielewa.
 
Back
Top Bottom