Wamweru
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 587
- 438
Wasalama Wana jamvi
Mimi ni mtanzania ambaye nimeitikia wito wa Serikali wa kulima kilimo cha korosho katika mkoa wa Tabora wilaya ya Kaliua na mpaka sasa nina ekari 20 za korosho zenye umri tofauti, ekari 7 zina umri wa mwaka mmoja na miezi 8 na 13 ina umri wa miezi 6 na lengo langu kufikisha ekari 100 na maeneo hayo ninayo na ninamiliki kisheria kabisa.
Sasa natafuta sehemu ambayo nitapata mkopo ili kutimiza lengo langu la kufikisha ekari 100. Pia nakopesheka maana Nina dhamana zaidi ya hayo mashamba. Yeyote mwenye kujua au ushauri namkaribisha ili niweze kujikwamua kutoka hapa nilipo.
Mimi ni mtanzania ambaye nimeitikia wito wa Serikali wa kulima kilimo cha korosho katika mkoa wa Tabora wilaya ya Kaliua na mpaka sasa nina ekari 20 za korosho zenye umri tofauti, ekari 7 zina umri wa mwaka mmoja na miezi 8 na 13 ina umri wa miezi 6 na lengo langu kufikisha ekari 100 na maeneo hayo ninayo na ninamiliki kisheria kabisa.
Sasa natafuta sehemu ambayo nitapata mkopo ili kutimiza lengo langu la kufikisha ekari 100. Pia nakopesheka maana Nina dhamana zaidi ya hayo mashamba. Yeyote mwenye kujua au ushauri namkaribisha ili niweze kujikwamua kutoka hapa nilipo.