Ndugu zangu watanzania wenzangu habari zenu.
Nimechoka life la kuishi kikolabo na rafiki yangu katika utafutaji wa maisha Sasa naona kuwa wakati sahihi wa kwenda kuanza life langu nikijitegemea Kwa kila siku yaan independent
Sababu ya kuja katika jukwaa hili ni kuja kuomba ushauri skills and knowledge kuhusiana na mpangilio na usafi ndani ya chumba ambacho naenda kupanga soon
Naombeni ushauri wenu
Asante
Nimechoka life la kuishi kikolabo na rafiki yangu katika utafutaji wa maisha Sasa naona kuwa wakati sahihi wa kwenda kuanza life langu nikijitegemea Kwa kila siku yaan independent
Sababu ya kuja katika jukwaa hili ni kuja kuomba ushauri skills and knowledge kuhusiana na mpangilio na usafi ndani ya chumba ambacho naenda kupanga soon
Naombeni ushauri wenu
Asante