Wakuu, mimi nimesajili jina la biashara yangu, nikapata lesen ya kupeleka bidhaa nje. sasa bidhaa hizo nazichukua kiwandani, wananiuzia na VAT, nikiwaambia mimi na export sitakiwi kulipa VAT hawakubali.
Hivyo naomba kujua hiyo VAT nikisha ilipa pale kiwandani ni utaratibu gani nitumie kurudishiwa hela zangu na TRA? na ni muda gan inatumia mpaka nirudishiwe? kwakweli ina niumiza sana kiasi kwamba wateja wangu nawapa bei za juu hili kufidia hiyo VAT. Sasa kuna uwezekano wakagoma nisaidieni mnao jua tafadhari.
Hivyo naomba kujua hiyo VAT nikisha ilipa pale kiwandani ni utaratibu gani nitumie kurudishiwa hela zangu na TRA? na ni muda gan inatumia mpaka nirudishiwe? kwakweli ina niumiza sana kiasi kwamba wateja wangu nawapa bei za juu hili kufidia hiyo VAT. Sasa kuna uwezekano wakagoma nisaidieni mnao jua tafadhari.