Msaada: Utaratibu wa kubadili jina la hati ya kiwanja!!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Wadau nina kiwanja cha mzee ambaye sasa ni marehemu, ni miaka mingi imepita na sasa nimepata akili nahitaji kutumia hati katika mambo yangu ya kibiashara hasa mikopo!!

Nb: Nilishakabidhiwa urithi kwa taratibu za kimila, naomba mwongozo wenu na gharama zinazohitajika ili kufanikisha hili!!
 
Duh! Mkuu umeona kwenda kuomba mkopo kwa iyo hati ndio umepata akili? Yaani hapo ndio umepoteza akili.

Achana na mikopo ya riba ni dhambi!
 
Kwakuwa wewe ni mrithi wa Mali na madeni ya marehemu ni lazima utakuwa na barua ya mahakama ya uteuzi wako. Then nenda kwa mwanasheria ili akuandalie fomu za usajili ardhi ambaxo ni "Application by personal legal representative " na Assent the benquest form. Kama kiwanja kina hati nenda ofc ya msajili na kama kiwanja kina barua ya toleo nenda ofis ya ardhi ambapo kiwanja kipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…