Msaada, Utaratibu wa kufuata katika kubadilisha rangi ya gari (car paint) hapa Tanzania ukoje?

The FaMa

Senior Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
125
Reaction score
27
Habari wakubwa.

Samahanini, ninaomba kujuzwa juu ya utaratibu unaopaswa kufuatwa pale mtu anapohitaji kubadilisha rangi ya gari zima. Je, kuna gharama zozote kisheria katika mchakato huo-mfano inabidi kubadili na kadi ya gari husika?

Natumai hapa ni jukwaa sahihi kwa suala hili, hivyo nitapata msaada stahiki. Natanguliza shukrani, thanx.
 
rangi ya gari na iliyo katika card ya gari lazima virandane so nenda TRA watakupa utaratibu kadi lazima ibadilishwe kufanana na iyo new colour
 
rangi ya gari na iliyo katika card ya gari lazima virandane so nenda TRA watakupa utaratibu kadi lazima ibadilishwe kufanana na iyo new colour


Ahsante Kiongozi, barikiwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…