Habari wana janvi, nahitaji ushauri pamoja na utaratibu wa namna nzuri ya kufungua kampuni ndogo ya kukopesha fedha, mambo ninayohitaji kuyajua ni;-
1. Kianzio cha mtaji unaohitajika
2. Utaratibu wa kusajili kampuni ya Mikopo.
3. Faida na hasara ya biashara hii
1. Kianzio cha mtaji unaohitajika
2. Utaratibu wa kusajili kampuni ya Mikopo.
3. Faida na hasara ya biashara hii