Msaada: Utaratibu wa kwenda nchi jirani na gari binafsi ukoje?

Msaada: Utaratibu wa kwenda nchi jirani na gari binafsi ukoje?

Wakuu habari,

Naomba kujua utaratibu au nyaraka unazotakiwa kuwa nazo ikiwa utasafiri na gari binafsi kwenda nchi nyingine, mathalani Kenya.
Sijui kama taratibu zimebadilika, ila inatakiwa ubebe kadi original ya gari ambayo utaiacha pale boda na wakati wa kurudi ndiyo utaichukua.

Inatakiwa pia ukate bima, kwa sababu bima yako ni ya hapa bongo. Ukikata bima ya COMESA ( nadhani utapata Arusha) huwa ni bei rahisi kuliko hizi nyingine, la sivyo unaweza ukakata bima pale pale border.

Pata chanjo yako ya yellow fever pale mnazi mmoja hospitali na anza safari na passport yako mfukoni.

Kama unasafiri na watoto bila mama yao, jiandae kwa maelezo na hoja nzito.

Angalizo: ni muda mrefu tangu mara ya mwisho nisafiri na usafiri binafsi nje ya nchi, kwa maana hiyo inawezekana kuna changes.
 
Sijui kama taratibu zimebadilika, ila inatakiwa ubebe kadi original ya gari ambayo utaiacha pale boda na wakati wa kurudi ndiyo utaichukua.

Inatakiwa pia ukate bima, kwa sababu bima yako ni ya hapa bongo. Ukikata bima ya COMESA ( nadhani utapata Arusha) huwa ni bei rahisi kuliko hizi nyingine, la sivyo unaweza ukakata bima pale pale border.

Pata chanjo yako ya yellow fever pale mnazi mmoja hospitali na anza safari na passport yako mfukoni.

Kama unasafiri na watoto bila mama yao, jiandae kwa maelezo na hoja nzito.

Angalizo: ni muda mrefu tangu mara ya mwisho nisafiri na usafiri binafsi nje ya nchi, kwa maana hiyo inawezekana kuna changes.
Asante mkuu kwa ufafanunuzi.. angalau nimepata pa kuanzia!
 
Wakuu habari,

Naomba kujua utaratibu au nyaraka unazotakiwa kuwa nazo ikiwa utasafiri na gari binafsi kwenda nchi nyingine, mathalani Kenya.
Ukifika mpakani unapewa temporary entry permit kulingana na visa yako na kama bima yako haifiki kwenye nchi unayokwenda unakata nyingine inayolingana na muda wa kibali utakachopewa
 
Ukifika mpakani unapewa temporary entry permit kulingana na visa yako na kama bima yako haifiki kwenye nchi unayokwenda unakata nyingine inayolingana na muda wa kibali utakachopewa
Shukrani , [emoji120][emoji120]
 
Kila La Heri
Members Wametoa Ufafanuzi Mzuri
 
Back
Top Bottom