Pole kwa tatizo, ushauri moja uti ni ugonjwa wenye dalili za moja kwa moja hivo ni vizuri iwepo dalili na sio ku rely kwenye lab test, pili hata hizo lab jitahidi upate lab ambayo ni uhakika na pia waweza fanya urine culture and sensitivity test pia yaweza kukusaidia kusuggest dawa nzuri ya kutiba kama hao bacteria wamekua sugu kwa dawa zilizo nyingi kwenye mazingira yetu.