The Shah of Tanganyika
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 602
- 1,572
Kama ni tego lilikuwa na lengo Gani kwangu? Je hata mhusika anajua alichokifanya kwangu?
AnzaSijawahi mkuu
YEahMadhara ya CHAPUTA hayo…
Maana yake isismame kwingine ila kwake tu.....hebu muite tena ujaribu uoneKama ni tego lilikuwa na lengo Gani kwangu? Je hata mhusika anajua alichokifanya kwangu?
Unataka kumgonga na weweFanya mazoez asubuhi na jion kula vzr pumzika kwa wakat thanks mi later
Wakat ukiwa Katika izo harakatz za kujirejesha mchezon nipe namba ya uyo Dada nikusaidie kaz ndogo ndogo mpaka pale utakapo kuwa sawa
Subiri mda almost miezi 3/4 fanya mazoezi ya hapa na paleHata hisia tu Sina kabsa
Hapana
Si umesema ndio mtarajiwa wako, kumbe fix!!Hata kwake sizani kama itasimama tena maana Sina hisia kabsa
Pole sana.....mwambie mtarajiwa aje akutoe hiyo lockSasa ni kipi ambacho hujaelewa hapo?
kwahiyo ni juju?Kuna wanawake sio wa mchezo mchezo....usishangae kwanini machizi wengi ni wanaume 😃