Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Unavyowajaza wakija wanakutana na kufuli[emoji23][emoji23], unatafuta lawama uaambiwe acha utoto hii sio fb[emoji23]Usiongee kwa sauti, mizimu haipendi
Ni pm nikutajie dawa
Kapigwa lockkwahiyo ni juju?
Daah Pole sana aiseeHabarini ndugu zangu wa JF, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo ambalo kwasasa linaninyima radha ya maisha, nilifanya appointment na binti nikiwa vizuri kabsa na kabla ya hapo sikuwa na tatizo kama hili.
Binti alifanikiwa kupanda gari kuja eneo nilipo, ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kufanya mechi nae, usiku wa kwanza nilifanya vizuri tu bila tatizo, na kesho yake asubuhi vile vile.
Baada ya hapo siku zilizofuata performance yangu ikashuka, nikawa natumia nguvu nyingi sana kupata hisia, japo nilijitahidi kwa uwezo wa Mungu akamaliza muda wake kwangu akijua naweza ( japo Kuna muda alistuka akajua Nina shida kitandani).
Akaondoka, tokea hapo mashine yangu imekuwa ikisimama kwa shida sana ( legelege) mwanzoni Hali hii kwa kweli imeninyima raha kabsa ndugu zangu. Nimekuwa mtu wa mawazo, na kiasi kwamba najiona dhaifu.
Nina week mbili Sasa mashine inasimama kwa wasiwasi, na ikisimama haina uwezo wa kuwekwa mahali ( sio imara).
Naomba kwa mtu anayejua tiba, ushauri anisaidie nimekuwa mtu wa kushinda nimelala nikiwaza.
Naombeni ushauri wenu au mwenye Tiba anisaidie.
Umechukua dam wa mtu.Kama ni tego lilikuwa na lengo Gani kwangu? Je hata mhusika anajua alichokifanya kwangu?
tapeli.Mzee kama upo serious njoo nikupe dawa gharama yake ni 50000 tu Kwa sababu hiyo pesa ntatumia kununua vifaa vya tiba yaani asali wa nyuki wadogo na vitu vingine
Tiba yangu ni asilia kabisa (nimewahi kuwa muhanga wa punyeto lakin Leo nipo fit balaaa)
Dawa yangu itakutibu kuongeza nguvu za kiume
Kuongeza kiwango Cha shahawa
Kuongeza ukubwa wa umee (hii zoez litachukua miez 6 au Zaid kulingana na unavyofanya mazoez Kwa usahihi )
Dawa itatibu tatizo la shahawa kuwa legevu na kuongeza ubora wa dawa
Tiba yangu ni uhakika hata akina mama wasio na uwezo wa kushika mimba au wenye kukosa hamu ya mapenzi
Asante kwa ushauri mkuu nakuja inboxMzee kama upo serious njoo nikupe dawa gharama yake ni 50000 tu Kwa sababu hiyo pesa ntatumia kununua vifaa vya tiba yaani asali wa nyuki wadogo na vitu vingine
Tiba yangu ni asilia kabisa (nimewahi kuwa muhanga wa punyeto lakin Leo nipo fit balaaa)
Dawa yangu itakutibu kuongeza nguvu za kiume
Kuongeza kiwango Cha shahawa
Kuongeza ukubwa wa umee (hii zoez litachukua miez 6 au Zaid kulingana na unavyofanya mazoez Kwa usahihi )
Dawa itatibu tatizo la shahawa kuwa legevu na kuongeza ubora wa dawa
Tiba yangu ni uhakika hata akina mama wasio na uwezo wa kushika mimba au wenye kukosa hamu ya mapenzi
🤣🤣🤣Unavyowajaza wakija wanakutana na kufuli[emoji23][emoji23], unatafuta lawama uaambiwe acha utoto hii sio fb[emoji23]
Uache utoto hii ni jf sio fb[emoji23][emoji23], Kuna watu wapo serious sana na maisha[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli dawa ya tatizo lake ninayo
Mbona kesi yako ndogo sana mkuu...Hii inshu isikie kwa mwenzio tu
Kwanini na wewe unataka tuje tujaribu?Njoo kwangu my 😂
Natumia nini wakati kitu haipo mkuu..🙄Ulitumia nini mkuu? Na ilikuwaje kwa upande wako
Hili ndio jibu. Iliwahi kunitokea. Niliangaika nikachomokaUmekutana na “TEGO” pole sana