Msaada: Uume unasimama kama demu akiwa mbali

Mr Suprize

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
869
Reaction score
961
Jambo wadau

Umri wangu ni miaka 20 tatzo langu uume wangu unasisimka na kupata hisia za kimapenz pale demu akiwa mbali na mm,but nikiwa naye karbu na nataka kufanya nae mapenz uume hausimami wala haupati hisia yoyote.

Nimewah kulala na demu mpaka asubuh but ckumfanya chochote zaid ya kumwingiza vdole kwenye k yake (demu alikuwa mzur ajabu) Kuna wakat mboo yangu inasmama had nahisi maumivu lakini nikiwa na demu mboo haisimami.

NISAIDIENI TATIZO NIN? (ILA SIJAWAHI KUFANYA MAPENZI NA MWANAMKE YEYOTE TANGU KUZALIWA?
 
Huyo demu itakuwa ulilala nae leo kitu kimegoma demu kawahi kusepa ndio ukaona uje humu kuondoa stress,maana asubuhi yote hii na nyuzi za ngono sio mwake kabisa.

Tatizo lako dogo ni kwamba unakamia sana gemu kiasi yanakufika yale ya mkamia maji!!.
Nakushauri ujijenge kwanza kiuchumi kisha tafuta mwanamwali mzuri,ufuate utaratibu umuoe.

Baada ya hapo kila kitu kitakwenda vizuri.Kwa umri huo ulionao ukiendekeza uzinzi nakuhakikishia miaka 30 hugemui!!.
 
Dogo muoga sana! Anza kutafuta madada poa ujenge confidence ya gem
 
Acha uzinzi dogo,tafuta maisha kwanza,ngono sio udume dogo.
 
Wewe bado mtoto mdogo sana kulala na mwanamke hadi asubuhi. Nakuomba subiri wakati ufike kisha mambo yote yatakuwa muruwa.
 
Fumba macho uweke taswira ya demu wako kama vile yuko mbali kumbe yuko hapo hapo ghetto kwako tu, mgegedo ukiitika fumbua macho ufanye yako.
 
Kijana acha kutazama picha za ngono kabisa!.,ukitazama x mwishoni unaishia kwenye punyeto na hiyo hali inakufanya usione uzuri na mvuto wa mwanamke phyisically.

So u have to settle ur mind kwa kufanya mazoezi pamoja na vyakula vya kuupa mwili wako nguvu!,mazoezi km kukimbia,kuruka kamba,push up,nk na vyakula km dona, mihogo, tangawizi,asali,mdalasini,punje za vitunguu swaumu, tende,nk!.,,pitia nyuzi zingine humu kwa maelezo zaidi.
 
Kuna Wakati JF ilikuwa kimbilio la wenye shida mbalimbali hususan majukwaa haya ya kitaaluma. Aidha, nilitegemea wenye majibu au ushauri sahihi wa tatizo lake ndio wajitokeze wamshauri.
 
Nipe no ya huyo demu uliyemwingiza vidole nikamkague yawezekana ana mapungufu
 

kwanza naomba #moderator akufundishe tafsida tunazotumia humu. Pili usiwaze uzinzi soma kwanza. Tatu tumia hizi forums kuongeza ufahamu positive kwa umri wako. Nne tayari una tatizo la kisaikolojia dili na shule zaidi kama unasoma au la acha kuwaza kushindwa kabla ya kufanya.
 
madogo zangu wote wana smart phone nikionaga nyuzi kama hizi moyo unanilipuka paaa

Ee Mola nilindie wadogo zangu
 
Tatizo huyo demu alikuwa "mzuri ajabu" ndo maana uume wako ukawa unamuogopa
 
Dalili za kuwa "dunga dunga" naziona kwako mapeeema . Chukua tahadhari mkuu.
 
Umeingiza kidole afu unasema hujawahi fanya mapenzi?

Kama sio kufanya mapenzi, hayo unaweza mfanyia ndugu yako wa karibu?!
 

Tatizo lako ni umri...
 
Masturbation ni moja ya sababu kubwa ya hilo tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…