Wana jf.
Naomba msearch thread yenye topic isemayo @Mficha uchi hazai...Nimejaribu kuweka link na ku edit topic nimeshindwa.lengo la kurudia ni baada ya kuona kichwa cha habari hakihamasishi wana jf kuingia/kuifungua thread hiyo.Shkrani kwenu mtakaotoa msaada.