Msaada: Uvimbe kama jipu katika uume wangu

SENGATI

Senior Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
127
Reaction score
26
Nimeamka asubuhi ya leo gafla naona kitu kama upele mkubwa kiasi kama jipu hivi sehemu ya shingo ya uume wangu.

Uvimbe huo hauumi kabisa but unanipa wasiwasi coz haijawahi kunitokea.

Naomba msaada tafadhali nifahamu ni nini na nichukue hatua gani mapema.
 
Hatua ya kwanza usipige papuchi mpaka upone,ya pili kapime magonjwa ya zinaa maana kaswende uwa ina dalili kama hizo
 
haha haha asipige papuchi.....kwani amesema huwa anapiga?.......nenda hosp
 
Check out...unaweza kuwa na tumor (not necessarily cancer) na inaweza kuondolewa kwa upasuaji mdogo. Ukienda lab (kama lancet) pale regency kuna pathologist anaweza kucheck hizo ni cell za aina gani na kukushauri la kufanya.
 
Chancroid hiyo bila shaka,.

Wahi hospitali.
 
Isijekuwa addition mutation ikasababisha ukawa na 2heads in 1shaft.
 
Tupia picha mkuu,
pili
kinaweza kikawa kijipu uchungu
tatu ushauri
usikikamuekamue kiachwe mpaka kipotee/kama kimeonyesha kimdomo kaa dall ya jipu basi utafanya yanayopaswa kufanywa.
Pia unaweza ujkaenda hosptali kucheki hiyo kitu.
Pia usisahau kupima ngoma na majibu kaa nayo mwnywe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…