wana 10 months, asubuhi tu wakiamka nawapa maziwa, saa 2 nawapa uji wa lishe, wanapumzika, wakiamka nawapa supu ya samaki au mbogamboga itakayokuwepo,wanapumua kama aftr an hour wanapewa juice au tunda wale wenyewe, nikiwa nakunywa chai nao nakaa nao pemben nawapa mkate wanatafuna, mchana wanakula mtori kdg kama starter, wanapumua kidogo wanakula ugali au wali bokoboko, maji kwa wingi wanapewa, wanalala, jion wanapewa cerelac/uji nwa lishe ikiambatana na juice au tunda na maziwa, mida ya saa 1 kuelekea 2 wanakula mtori wa kutosha wanasindikiza na juice au tunda wanalala, ucku wanapewa maziwa yao na mmoja ananyonya mwenzie hataki. Sijui wapi nakosea