Kuna kanuni ya kujuwa uzito stahiki wa mtu, lakini siikumbuki vizuri. Inahusisha umri na urefu ili kujuwa uzito wako unaotakiwa. Naomba mwenye kujuwa anijulishe. Asanteni sana.
Kumbuka kama wewe ni mwanamichezo inaweza kukuweka kwenye Underweight or Overweight category sababu wanakuwa na miili mikubwa au midogo kuliko kawaida. So take that into consideration.