Msaada: Veta gani nzuri inayopatikana jijini Mwanza?

judey

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2021
Posts
450
Reaction score
535
Kichwa cha habarii chajieleze natafuta chuo cha veta kizuri jijini mwanza

Ambacho kinatoa kozi ya ufundi umeme wa manyumbani pia umeme wa magarii

Pia ambacho vyumba vya kupanga sio bei ghalii na vinapatikana kwa urahisi

Naomba kuwasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…