macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kaka
mi nipo Singida ila kuna jama angu yupo Dar hua nam2mia pesa than
anani2mia spea zikiwa mbovu au tafauti hua namrudishia ananibadilishia
ni muaminif sana anaitwa Badi 0657617671 ni mpemba mpigie kwa namb hiyo apo muelewane, nahisi tatizo lako limepata mwarubain kwa badi.
kaka hii si suzuki vitara hii
Yaishe..watu wengne kwl mnaumwa minyoo, sawa tumejua una gari. topik ni kumsaidia braza apate spea, hayo mengne mpelekee kimada wako!
kariakoo au sio mkuu, hapo ni uhakika?
Hilo la spare ndo shida kubwa kiukweli, saiv nahaha, nahitaji kubadilisha shockups zote nne, gear lever nayo kama imekua ngumu sana, na distributor
Mbele imeandikwa Escudo.., sasa vitara kivipi tena..
Weka chasis number ya gari lako na sema ni spare gani hasa unayotaka,ntakupa bei ukiwa interested tunamalizana
Habari ya siku ya leo na poleni kwa misukosuko ya kuumaliza mwezi na maandalizi ya mwezi mpya.
Nina gari yangu hiyo katika picha, ni Honda CRV model ya mwaka 1995, engine yake bado iko vizuri sana, na toka nimeinunua sijawahi badilisha kifaa chochote ila hivi siku za karibuni nimeona inaanza kupungua nguvu ikabidi niipeleke garage fundi kaichunguza na kugundua baadhi ya vifaa vinatakiwa kubadirishwa, sasa basi kwa maeneo niliyopo hizi gari zipo chache sana kitu kilichopelekea maduka yooote kutokua na spare zake, hivyo nahitaji mwenye kujua wapi nitapata spare aweze kunisaidia kwa hilo, asanteni
Kimeo hicho😜
Chesis namba tena mkuu, nadhani labda nikupe Model number ya gari ambayo ni RD11
Vifaa ninavyohitaji
1. Gear Lever
2. Shock Ups za mbele na nyuma
3. Distributer yake origin( kinachofua umeme kwa wenye uelewa watanirekebisha, kwa sasa natumia koili ambayo siyo yake
4. Mashine za kupandishia vioo, kwa kitaalam mtanisaidia jina lake
5. Vitasa vya Milango vilivyopo vinaji lock
6. Stabilizer zote nne
7. Vile vi mipira vinavyoshikilia engine isicheze mtanisaidia jina lake.
Chasis number muhimu kuiweka ili upate msaada hasa kwa item no 2 hapo juu (shockabs) na engine namba kwa item no 7 (engine mount)
Sawa mkuu
Chesis no RD11010806
Vitara/Escudo, Helly Hansen, Goldwin, Mazda Proceed Levante.....gari ni moja, masoko tofauti.hahahaaaaa nimekupata kaka nimechanganya haha
Maanina.., unasemaje wewe..?
Hiyo gari usipoijua itakusumbua sana ila ukiijulia ni gari ngumu, stable na inakimbia sana. mtaalam wa spare za honda na subaru anaitwa Zizou yuko mtaa wa lindi oposite na machinga complex. ila ukienda kichwakichwa utapigwa na madalali nenda straight pale.Habari ya siku ya leo na poleni kwa misukosuko ya kuumaliza mwezi na maandalizi ya mwezi mpya.
Nina gari yangu hiyo katika picha, ni Honda CRV model ya mwaka 1995, engine yake bado iko vizuri sana, na toka nimeinunua sijawahi badilisha kifaa chochote ila hivi siku za karibuni nimeona inaanza kupungua nguvu ikabidi niipeleke garage fundi kaichunguza na kugundua baadhi ya vifaa vinatakiwa kubadirishwa, sasa basi kwa maeneo niliyopo hizi gari zipo chache sana kitu kilichopelekea maduka yooote kutokua na spare zake, hivyo nahitaji mwenye kujua wapi nitapata spare aweze kunisaidia kwa hilo, asanteni
kasema anataka shock up,na gear Link,hiyo gari ni model ya zaman spare zake nyingi mnadani,tafuta fundi wa kiwango afungue spare panda bac mpaka dsm utapata,angalizo=EPUKA MATAPELI
King Octavian nimeangalia hiyo avatar yako nikajiuliza kama unatoaga lift wewe!!