Napendelea kufanya mazoezi ya kukimbia kila jion..lakin nimekaa kwa mda wa miezi 2 bila kukimbia nilipo anza tena nilikimbia mita chache2..nikasikia maumivu makal sana kwenye vifundo vya magoti(magotini) utafikili mifupa inagusana sasa ni wiki ya 3 bado nackia maumivu nikijalbu kukimbia tatizo hili lina nipa wacwac...naomben ushauli wana JF.